Wakuu huwa nimekuwa na mahusiano na dada mmoja na nilimjali kwakila kitu na pia familia yake ikawa inatambua mahusiano yetu ila cha ajabu nilipokuwa nikitoka kwenda mikoani kutafuta riziki basi naye akawa anafanya usaliti marafiki zangu wa karibu wakawa wananieleza na kunishauri nimwache ila sikufanya hivyo nikawaeleza kuwa mpaka nione mwenyewe ndipo siku nikamweleza naenda tabora akasema sawa ila nikawa nimeenda mbagala ucku ulipofika nikarudi ndipo nikaenda kwao na kuelezwa kaaga kuwa kaja kwangu nikawaeleza sijamwona na ndipo rafiki yangu akanitonya kuwa amemuona kwenye uchochoro yupo na mtu nilipo ufuatilia nikamkuta tena anafanya mapenzi njiani nikamsemesha akakana kunijua nami nikaondoka nikamwacha ajivinjari na ampendae mwisho wa siku akabagwa then karudi anataka nimpe nafasi tena ila kwa ujumla sitamani tena kuwa na msichana na kila ninaye muona naona ni walewale.hebu nisaidieni nifanye nini ili niwezekurudi katika hali ya kuwaamini wanawake