Niokoeni jamani

Uparo

Member
May 4, 2012
55
9
Wakuu huwa nimekuwa na mahusiano na dada mmoja na nilimjali kwakila kitu na pia familia yake ikawa inatambua mahusiano yetu ila cha ajabu nilipokuwa nikitoka kwenda mikoani kutafuta riziki basi naye akawa anafanya usaliti marafiki zangu wa karibu wakawa wananieleza na kunishauri nimwache ila sikufanya hivyo nikawaeleza kuwa mpaka nione mwenyewe ndipo siku nikamweleza naenda tabora akasema sawa ila nikawa nimeenda mbagala ucku ulipofika nikarudi ndipo nikaenda kwao na kuelezwa kaaga kuwa kaja kwangu nikawaeleza sijamwona na ndipo rafiki yangu akanitonya kuwa amemuona kwenye uchochoro yupo na mtu nilipo ufuatilia nikamkuta tena anafanya mapenzi njiani nikamsemesha akakana kunijua nami nikaondoka nikamwacha ajivinjari na ampendae mwisho wa siku akabagwa then karudi anataka nimpe nafasi tena ila kwa ujumla sitamani tena kuwa na msichana na kila ninaye muona naona ni walewale.hebu nisaidieni nifanye nini ili niwezekurudi katika hali ya kuwaamini wanawake
 
Uparo tukuokoe nini hali huyo dada kisha kuokoa? Imagine ungekua umeoa? Hapo baba kimbia fasta.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu huwa nimekuwa na mahusiano na dada mmoja na nilimjali kwakila kitu na pia familia yake ikawa inatambua mahusiano yetu ila cha ajabu nilipokuwa nikitoka kwenda mikoani kutafuta riziki basi naye akawa anafanya usaliti marafiki zangu wa karibu wakawa wananieleza na kunishauri nimwache ila sikufanya hivyo nikawaeleza kuwa mpaka nione mwenyewe ndipo siku nikamweleza naenda tabora akasema sawa ila nikawa nimeenda mbagala ucku ulipofika nikarudi ndipo nikaenda kwao na kuelezwa kaaga kuwa kaja kwangu nikawaeleza sijamwona na ndipo rafiki yangu akanitonya kuwa amemuona kwenye uchochoro yupo na mtu nilipo ufuatilia nikamkuta tena anafanya mapenzi njiani nikamsemesha akakana kunijua nami nikaondoka nikamwacha ajivinjari na ampendae mwisho wa siku akabagwa then karudi anataka nimpe nafasi tena ila kwa ujumla sitamani tena kuwa na msichana na kila ninaye muona naona ni walewale.hebu nisaidieni nifanye nini ili niwezekurudi katika hali ya kuwaamini wanawake

We Mangi
Mbona swala lako halihitaji ushauri
si umeshamuacha? wewe endelea kuchapa kazi utampata binti mwingine

Ikishindikana rudi uparo ukikosa nenda pale kisangani au pale sumi hutakosa
kila la kheri
 
Wakuu huwa nimekuwa na mahusiano na dada mmoja na nilimjali kwakila kitu na pia familia yake ikawa inatambua mahusiano yetu ila cha ajabu nilipokuwa nikitoka kwenda mikoani kutafuta riziki basi naye akawa anafanya usaliti marafiki zangu wa karibu wakawa wananieleza na kunishauri nimwache ila sikufanya hivyo nikawaeleza kuwa mpaka nione mwenyewe ndipo siku nikamweleza naenda tabora akasema sawa ila nikawa nimeenda mbagala ucku ulipofika nikarudi ndipo nikaenda kwao na kuelezwa kaaga kuwa kaja kwangu nikawaeleza sijamwona na ndipo rafiki yangu akanitonya kuwa amemuona kwenye uchochoro yupo na mtu nilipo ufuatilia nikamkuta tena anafanya mapenzi njiani nikamsemesha akakana kunijua nami nikaondoka nikamwacha ajivinjari na ampendae mwisho wa siku akabagwa then karudi anataka nimpe nafasi tena ila kwa ujumla sitamani tena kuwa na msichana na kila ninaye muona naona ni walewale.hebu nisaidieni nifanye nini ili niwezekurudi katika hali ya kuwaamini wanawake

Time will tell, kaa utulie, jipe muda utafakari na zaidi ya yote muombe sana Mungu Atakuonyesha yupi wa kumuamini na kufunga naye ndoa. Acha papara, kusalitiwa juzi tu umeshaanza kutafuta wa kumuamini? You can't be serious!
 
Tukuokoe Au tukupongeze kwa kuokoka. !!! Umemkuta mtu vichakani akakukana ushauri wa nn tena? Ebu mshukuru Mungu usonge mbele.
 
Wakuu nakubali ushauri wenu hasa aliyesema nichape kazi kwanza na kuwa nitampata aliyetulia mda ukifika ngoja nipambane na biashara zangu niweze kujipatia angalau shilingi mbili tatu banah
 
Mkuu nimepima mara nne na namshukuru mola nipo salama kwani tokea niachane nae mwaka na nusu umeisha
 
Wakuu nakubali ushauri wenu hasa aliyesema nichape kazi kwanza na kuwa nitampata aliyetulia mda ukifika ngoja nipambane na biashara zangu niweze kujipatia angalau shilingi mbili tatu banah

jamani ungekuwa kure kwetu Mara ningekupa ng'ombe wawiri ure we ni mura
 
Back
Top Bottom