Napenda kukaa peke yangu lakini nina mke

Napenda kukaa peke yangu lakini nina mke

Status
Not open for further replies.

bab-D

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
1,335
Reaction score
404
Mimi ni mnywaji, kwakeli ninapigapiga, nimechoka kukaa na mke, napenda nikae peke yangu, ila akisafiri huwa na sumbuka sana, siku mbili bila kula si ajabu tena huwa nimeonja, nifanyeje? Napenda kukaa peke yangu, ila wife yeye ananipenda hapo tu angekua ashaondoka zamani.
=====

Kuna mtu kaandika thread hii, inaonekana nilikua sija signout!
 
Nafikiri mwanaume kabla ya kuoa kuna maamuzi inabidi uwe umeshayafanya, mimi bado sijaoa
 
kwann ulimuoa sasa wakati we unapenda kukaa peke yako

Nimebadili tu mawazo, nawaza nikikaa peke angu hata nikirudi saa kumi am hakuna swali wala kugombezwa,
 
jamani hii ndo shida ya kuolewa na vitoto vdg ambavyo ht kujifunza alphabet havijamaliza.Huyu nae anajua maana ya ndoa?Jamani 2sikulupuke kutafuta wenza matokeo yk 2taishia kupata mitihani km hii aisee.m2 mwenyewe ht hajui anataka nn maishani mwake maana uhuru wa kurudi uck anautaka na mke wa kumpikia anamtaka,ni shida 2pu.Mtoa mada kakojoe ulale.
 
jamani hii ndo shida ya kuolewa na vitoto vdg ambavyo ht kujifunza alphabet havijamaliza.Huyu nae anajua maana ya ndoa?Jamani 2sikulupuke kutafuta wenza matokeo yk 2taishia kupata mitihani km hii aisee.m2 mwenyewe ht hajui anataka nn maishani mwake maana uhuru wa kurudi uck anautaka na mke wa kumpikia anamtaka,ni shida 2pu.Mtoa mada kakojoe ulale.

kama wewe ulivyokurupuka ukapata mume mlevi
 
Tafuta hausigeli then timua wife.
Ukijiskia unapiga kama kawa.
 
jamani hii ndo shida ya kuolewa na vitoto vdg ambavyo ht kujifunza alphabet havijamaliza.Huyu nae anajua maana ya ndoa?Jamani 2sikulupuke kutafuta wenza matokeo yk 2taishia kupata mitihani km hii aisee.m2 mwenyewe ht hajui anataka nn maishani mwake maana uhuru wa kurudi uck anautaka na mke wa kumpikia anamtaka,ni shida 2pu.Mtoa mada kakojoe ulale.

mpitie mtoa mada mkajifunze wote alphabet
 
kumbeee nimegundua unapenda starehe unaona ukikaa na mke ni kero kwa starehe zako
 
Hahahaaaa....!!!jaman sasa ulianzaje kuowa wakati unataka kukaa peke yako...? Mwambie ukweli asiendelee kuumiza moyo wake....
 
huyu jamani unaweza kuta ana miaka 20 alafu kaoa,if that is the case, you are too young bro...if not, then you are selfish, ebu jiulize kwa nini uliamua kuoa?ulilazimishwa au? usije ukawa ulioa tu ili upate mtu wa kukupikia kila siku..jitathmini kwanza
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom