Nilikuwa siamini kama unaweza pata mwenza JF

Nilikuwa siamini kama unaweza pata mwenza JF

frank5

Member
Joined
Nov 5, 2015
Posts
25
Reaction score
3
Wandugu wapendwa nilikuwa siamini kama mtu anaweza kupata mke JF, lakin Jana nimeamini baada ya rafki yangu kufunga ndoa na mdada waliokutana jukwaa hili la JF.

Hii imenipa hamasa sana maana sikutegemea kbsa kama ingewezekana.

NAMIMI KWA UJASIRI MKUBWA natangaza natafuta MKE.

Mke ni mtakae awe na sifa zifuatazo
1* mwenye umri kuanzia miaka27-33
2*mkristo
3*elimu angalau sec.
4*mrefu kiasi
5*kabila lolote
6*mwenye shughuli halali ya kumingizia kipato
7*mwenye nia ya dhati kuingia kwenye ndoa
8*muwazi na mkweli

Mimi sifa zangu hizi hapa.
1* umri wangu miaka35
2*mkristo
3*elimu yangu degree
4*mrefu
5*muajiliwa WA serikali
6*kabila mnyamwezi
7*muwazi na mkweli

Yeyote aliye serious ani pm tuwasiliane zaidi.
Mizaha na kejeli sizihitaji kama huna uhitaji naomba upite kwa amani.
Nawakilisha.
 
Mmmh kuwa makini,, ilikuwa bahati ya mwenzako tu,,.. Mtandaon kuna mengi
 
Mmmh kuwa makini,, ilikuwa bahati ya mwenzako tu,,.. Mtandaon kuna mengi

watanzania bwana waliopo mtandaoni ndo waliopo mtaani sasa nini tofauti,kama unahisi anaweza kuwa na tabia mbaya kuna mda wa uchumba utamuona,ni ngumu mtu ake fake mwaka tabia yake.
Mbna nchi za wenzetu kuna makambuni kabisa ya kukutanisha watu na ndoa zao zinadumu
 
Nimemwambia awe makini, only that.. Pia nishashuhudia rafk yang na uhusiano wa mtu wa mtandaon miaka miwil na kilichomtokea ni historia,, cjasema haiwezekan, ila awe makini..nadhan amenielewa
 
Unapata mke/mme JF, then baada ya ndoa unaendelea na surfing JF. Kama mmoja wenu ana roho nyepesi ndoa inaweza ota mabawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom