Michepuko Gharama jamani

Michepuko Gharama jamani

Naka boy

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
321
Reaction score
110
Yaaan aisee jamani michepuko gharama asee asikuambie mtu.Vinywaji,chakula, usafir ,, hivyo vyote unatumia pesa,, alaf bade ndio uje ule Tunda sasa,, hapo ni Lodge tena ni pesa..
 
Ukiona gharama pisha wenye kisu kikali tule nyama.
 
Umechepuka tu unaona ghari je ukichochora?

Ukichochoro ndio balaa inaonekana maana,, unajua ss men huwa tunajitahid kwa hali na mali tuipate ile papuchu,alaf sasa usiombe manz awe mpya kwako..( mara ya kwanza mnaonana.).lakin mwisho wa siku baada ya kula Tunda, unaanza kufikilia gharama
 
Unachepuka wakati huna hela baki njia kuu inakuhusu.
 
Yaaan aisee jamani michepuko gharama asee asikuambie mtu.Vinywaji,chakula, usafir ,, hivyo vyote unatumia pesa,, alaf bade ndio uje ule Tunda sasa,, hapo ni Lodge tena ni pesa..

Sasa hapo ukivivaa VVU ndo unakamilisha gharama vizuri kabisa, unakuwa umevinunua kwa gharama kubwa halafu vinakugharimu afya/maisha.
 
Sasa hapo ukivivaa VVU ndo unakamilisha gharama vizuri kabisa, unakuwa umevinunua kwa gharama kubwa halafu vinakugharimu afya/maisha.

Cha msingi bora kutafuta mke wa kuoa asee..
 
Yaaan aisee jamani michepuko gharama asee asikuambie mtu.Vinywaji,chakula, usafir ,, hivyo vyote unatumia pesa,, alaf bade ndio uje ule Tunda sasa,, hapo ni Lodge tena ni pesa..

Na kama ni hapa dar usiseme,mchepuko garama. Mikoani unaweza kuchepuka hata mara 3 kwa wiki,loji rahisi,kuwahi kufika unakoenda kwa wakati,nk. Ila hapa dar unaweza kujikuta umeokoka gafla.
 
Back
Top Bottom