hahahaaaaa,Hivi kwa nini unayempenda hakupendi? na usiyempenda ndio akuganda ganda ka gundi?
Hivi kwa nini unayempenda hakupendi? na usiyempenda ndio akuganda ganda ka gundi?
weee aku PMili? ZD leo kabaki home eeeh ndo mana unaomba na ma PM ya ma-SHE freeelyPole kwa matatizo yaliyokukumba dada (Sore kama wewe ni HE) Vumilia tu. Ukishindwa, ni-PM. Huwezi jua mipango ya Mungu.
weee aku PMili? ZD leo kabaki home eeeh ndo mana unaomba na ma PM ya ma-SHE freeely
Dah! Unakaba mpaka penalti? Au ndio utakuwa matron kwenye shughuli yetu? Usisahau bestman atakuwa mpwa fidel. hahahaha!
angekua blurei ungenikosa
Musinitajie huyu mtu jamani ana sifa sana na English ya kizamani,
jamani mimi ni she
lakini wakati mwingine anaweza kusubiri kumpata anaempenda mpaka akazeeka na asimpate, bora tu kuwa na huyo anayekuganda.baby love subira yavuta kheri, utapata mtakayependana....
Hahaha! Kwa hiyo kwa fidel ntakupata? No worry, after all, ameshastaafu kujiexpress. Si unakumbuka?
taratibu mpwa, wewe ZD si yupo?Pole kwa matatizo yaliyokukumba dada (Sore kama wewe ni HE) Vumilia tu. Ukishindwa, ni-PM. Huwezi jua mipango ya Mungu.
nashukuru shemeji kwa kuliona hili mapemaweee aku PMili? ZD leo kabaki home eeeh ndo mana unaomba na ma PM ya ma-SHE freeely
hahahaaaa, teh teeeh don worey, ameshaona jamani vipi, MILUZI MINGI jamni punguzeni.baby love subira yavuta kheri, utapata mtakayependana....
lakini wakati mwingine anaweza kusubiri kumpata anaempenda mpaka akazeeka na asimpate, bora tu kuwa na huyo anayekuganda.
Musinitajie huyu mtu jamani ana sifa sana na English ya kizamani,
jamani mimi ni she
taratibu mpwa, wewe ZD si yupo?
nashukuru shemeji kwa kuliona hili mapema
hahahaaaa, teh teeeh don worey, ameshaona jamani vipi, MILUZI MINGI jamni punguzeni.
hahahaaaa, teh teeeh don worey, ameshaona jamani vipi, MILUZI MINGI jamni punguzeni.