mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Habari za jioni.
Najua nina kiporo changu ambacho niliahidi kukileta hapa. Ni kuhusu kutoka na mke wa FFU na kupata masaibu niliopitia hadi kuachana naye.
Lakini leo kuna jambo ningependa kupata ufafanuzi wake.
Hivi inakuwaje mtu kuna muda unawaza jambo kisha ndani ya sekunde 3 linatokea.
- Unamuwaza mtu flani, kisha ndani ya sekunde ladhaa unamuona huyoooo!!!
- Unawaza mti mara simu inaita kumbe ni yeye
HALI HII INAITWAJE NA INATOKANA NA NINI KITAALAMU?
Hua inanitokea karibu kila siku na sijajua ufafanuzi wake...
Msaada kwa wajuzi tafadhali
Najua nina kiporo changu ambacho niliahidi kukileta hapa. Ni kuhusu kutoka na mke wa FFU na kupata masaibu niliopitia hadi kuachana naye.
Lakini leo kuna jambo ningependa kupata ufafanuzi wake.
Hivi inakuwaje mtu kuna muda unawaza jambo kisha ndani ya sekunde 3 linatokea.
- Unamuwaza mtu flani, kisha ndani ya sekunde ladhaa unamuona huyoooo!!!
- Unawaza mti mara simu inaita kumbe ni yeye
HALI HII INAITWAJE NA INATOKANA NA NINI KITAALAMU?
Hua inanitokea karibu kila siku na sijajua ufafanuzi wake...
Msaada kwa wajuzi tafadhali