Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mwaka flani nlienda Tanga kikazi. Nikakaa mwezi na nusu Hotel. Nilifanikiwa kupata mtoto mmoja mkali wa Kidigo. Sura nzuri kifua kimevimba hakuwa sana na Tako lakini si haba alikuwa akijua mahaba...
15 Reactions
46 Replies
4K Views
Leo nimekaa nikakumbuka mkasa mmoja uliotokea miaka kadha iliyopita. Mwaka fulani nikiwa natoka Jeshini (841 KJ- Mafinga) mujibu wa sheria nilibahatika kukutana na zali la mentali hili...
24 Reactions
145 Replies
3K Views
Ni zile aina ya ndoa mwanaume anatafutiwa mke na wazazi, ndugu wa wazazi au ndugu zake watu wazima.
6 Reactions
43 Replies
789 Views
Usije ukamwaga mpaka nikuambie 😭 Hii nikauli nliyokua naambiwa namkewangu mwaka 2025 lakini yote kwa yote tuliachana Kwa Sasa nibora nizae na mtuu kuliko kuoaa πŸ™. Je ulishawahi ambiwa hii kauli
10 Reactions
31 Replies
685 Views
Poleepolee utasemaa yoote mama mkweee Hivi lile gari walikupatia kadi ama ndioo ulikuwa usanii na nkkweoo πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ nchitamuhiii
4 Reactions
7 Replies
425 Views
hapa nazungumzia wasukuma hamna kabila lenye wadada wazuri kama hili.kwa hiyo masela karibun mwanza muone vitu vya hatari.
19 Reactions
306 Replies
3K Views
Mdau hivi kwanini kuna ongezeko kubwa la wadada wanaopenda hela kwenye mahusiano ?
0 Reactions
3 Replies
110 Views
..............UTAFITI ............ Nimefanya utafiti nimegundua kwamba, Kuoa siyo jambo jema kwani kuoa ni kumleta mtu nyumbani kwako Aje kula pesa zako halafu azae marafiki zake...
14 Reactions
57 Replies
816 Views
Katika mjadala wa mahusiano, kuna jambo ambalo watu wengi huliona lakini hulikwepa kulizungumzia kwa kina. Mara nyingi utakuta kundi kubwa la wanawake linavutiwa na wanaume wachache wenye hadhi...
6 Reactions
33 Replies
670 Views
Uzi huu nimeuandaa baada ya kusoma post flani inatrend jukwaani muda huu kuna dada yetu anahisi mme wake anatumia ushirikina kujua mawasiliano yake ya watu anaoongea nao, Huenda ni kweli lakini...
59 Reactions
149 Replies
27K Views
Hawa kataa ndoa ni chama cha waliofeli kwenye ndoa. Wanadanganya watu ndoa ngumu ili watu waogope kuoa na kuolewa.ila yote n uongo ndoa hazifanani huwez jua bahati yako.
7 Reactions
12 Replies
113 Views
Jana nilikutana na binti mmoja. Kwenye 1&2 zakutafuta Wife material. Tukabadilishana namba na usiku tukachati mpaka kama saa sita au saa saba. Mazungumzo yalikuwa yakawaida sana tu Mambo poa...
7 Reactions
52 Replies
838 Views
They are built by two people who choose to give up on each other because love is not about who texts first or who wins every argument....πŸ€— Love is about staying, understanding, forgiving and...
6 Reactions
5 Replies
97 Views
Nimepost hapa hapa, Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali! Je umezaliwa tarehe zifuatazo πŸ‘‡ kama jibu ni 'Ndio' karibu tuunge urafiki? πŸ‘‰ Mei 21 hadi 31, πŸ‘‰ Juni 1 hadi 20, πŸ‘‰ Novemba 22 hadi...
9 Reactions
373 Replies
3K Views
Ni kweli kwamba ndoa ya wahuni waliokutana baa NDOA ZAO hazidumu ukilinganisha na watakatifu waliokutana kanisani?
2 Reactions
8 Replies
126 Views
Habari wakuu Natafuta mke wa kuoa Sifa zangu Elimu: Bacherlor degree of computer science Location: Dar es Salaam Umri : miaka 33 Kazi: Developer Dini: catholic Sifa za mwanamke ninayemtaka...
1 Reactions
2 Replies
180 Views
SINGLE LADY ULIEPO NJOMBE NJOO TUYAJENGE
1 Reactions
4 Replies
92 Views
  • Redirect
Tafadhali usijione kijogoo kuibuka na single mother bila kujua sababu ya mtangulizi kusepa. Single mother wengi wanaficha mengi. Jiridhishe kabla ya kuvamia mtumbwi wa vibwengo. Tumezika wengi kwa...
8 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Mnaendeleaje na hali? Nina rafiki yangu amenielezea kuwa kwenye mahusiano yake mtu alie nae ni wabaridi mno na yeye ni wa moto Na haijawahi kutokea mambo yakabadilika always ni hivyo...
1 Reactions
10 Replies
174 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…