Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi nipo salama kiasi, nashukuru Mungu nilikuwa naumwa lakini sasa hivi naelekea kuwa na Afya njema. Mdomo mchungu kiasi lakini sio mbaya sana kuliko hatua niliyo kuwa nimefikia ya Shemeji yenu...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Waku habari ya kutwa? Hivi inapotokea mke yupo tyr kukanusha kila jambo unalomlishauli na kwenda mbali zaidi kufikia hatua ya kukuchonganisha nje na majirani kwa ya mashauli uliyompa dhidi ya...
1 Reactions
99 Replies
8K Views
Simkashifu mtu ni ujumbe tu, pia amepata kusema mdau wa masuala ya wanawake (Lu-Patie!). "Wanaume wengi hawajafikia ndoto zao, wanatamani kupata wanawake watakaowatia moyo kuwafikisha kwenye...
11 Reactions
46 Replies
6K Views
Mimi Mgeni Humu Napenda Kuuliza Hivi Wanao Tafuta Wachumba Humu Wanafanyikiwa Kweli? Au Niudanganyifu2?
0 Reactions
48 Replies
3K Views
Sifa ya watanzania ni ubishi wa vitu ambavyo hata hawavijua. Sasa leo nakuletea jambo la msingi usibishe kabla ya kujaribu. Jambo lenyewe ni: Kama unauhitaji wa mtoto wa kiume tamka maneno haya...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Ninatafuta rafiki wa kike. Awe anaishi Kiteto. Kwa maelezo zaidi, niandikie Private Messege, PM! NB; Moderator samahani, nimeshindwa ku-access Love Connect Forum, ndiyo maana hii mada nimeiweka...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Salam. Straight to the chase. Usiku Wa kuamkia jumatatu, yani usiku Wa pasaka mwenzenu ujinga wangu ukanifika kwenye kidevu......nilikua nimelewa sana tena sana... Sasa nilipokua nanywea hizo...
16 Reactions
112 Replies
8K Views
Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata...
37 Reactions
224 Replies
20K Views
Husika na mada tajwa hapo juu. Jamani watu wanaumwa na wanateseka sana hospitalini na majumbani. Tembelea wodi za wagonjwa ndio utajua nini namaanisha. Lakini mbali na mateso wayapatayo wagonjwa...
2 Reactions
5 Replies
844 Views
Tuambiane ukweli wake wengi starehe yake.............. matatizo yake .................
1 Reactions
111 Replies
9K Views
Nawasalimu kwa heshima kwa kipindi kirefu nimejihusisha kimapenzi na wanawake tofauti tofauti wa kikurya (I really love them). Nilichojifunza which is common to most of them ni kuwa wanapenda...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
salam zot wakuu zwafkie wote ni hiv imepta zaid mwak m1 toka niache purioo. sasa katka migegedo yangu 8 tokea niache asee nimekuwa wa kulizisha Ks nazo gegeda, pasipo mm pia. Hi ina maana ya...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Umepewa mimba na mwanaume umemuambia kama una mimba yake labda kakubali au kakataa, sasa umejifungua na una mtoto, tena umemuandika na jina la baba yake kwenye cheti cha kuzaliwa, lakini umemfuata...
7 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari zenyu wana Jf na mmu kwa ujumla. Rejea kichwa cha thread hapo juu,niende tu moja kwa moja kwenye mada. Events hizi zinaanza tar 01 mwez wa 3. Sasa kuna huyu bidada(last year student, born...
0 Reactions
95 Replies
9K Views
Ni kama wiki 2 sasa imeshakatika tangu nianzishe mahusiano na huyu single mother lakini vitendo anavyonifanyia walahi huyu mother ananiroga taratibu ili nimuoe, Kwa sababu Juzi kati hapa kaniita...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
MWANAUME Unatakiwa Uwe Na Ghetto Safi Hadi Siku Demu Wako Akija Kwako Kwa Mara Ya Kwanza Anauliza "Baby Niweke Wapi Sidiria (Bra) Yangu" [emoji23][emoji23][emoji23] Wanaume wengi mageto yetu...
4 Reactions
63 Replies
10K Views
Habar za asubuh wakuu? bila kupoteza muda niende kwenye maada, mm ni kijana kuna mtoto mzuri namuelewa Sanaa, nimeanza harakat za kumfukuzia tangu November mwaka Jana, jibu lilikuwa ni kwamba ana...
2 Reactions
44 Replies
5K Views
Siku hizi mtu akitaka kuoa kuna kuwa na event nyingi mara utasikia kutangaza uchumba, pete ya uchumba, kitchen part [wakati muolewaji ameishawah ishi na mwanaume mwingine kwenye sogea tuish miaka...
16 Reactions
113 Replies
11K Views
Mara nyingi nasikia wanaume wa Dar wakiwalalamikia wanawake wa Dar kwamba wanapenda starehe na matumizi mabaya ya pesa lakini sio wote. Sema samaki akioza mmoja ndo hapo panapoleta shida kwakweli...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…