ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 673
- 1,083
Nawasalimu kwa heshima
kwa kipindi kirefu nimejihusisha kimapenzi na wanawake tofauti tofauti wa kikurya (I really love them). Nilichojifunza which is common to most of them ni kuwa wanapenda sana ugomvi na kwa upande wangu sijakulia mazingira ya namna hiyo (Sijawahi kuona baba yangu ananyanyua mkono ampige mama). Kuna wa mwisho alikuwa mfanyakazi katika taasisi moja hapa nchini, ndo hatari. Ilikuwa kila baada ya siku mbili anatafuta noma lolote anakomaa nalo hata kama sio kweli. S'times anaweza kukurupuka kuwa twende kwao Musoma nikatambulike na wazazi wakati hatukupanga na ukimwambia inahitaji maandalizi anakwambia ameshajindaa kibajeti. Kuna safari nilienda mwishoni mwa mwaka jana nikakaa almost mwezi na nusu, nilirudi bila kumtaarifu nikakuta kuna lijamaa limeletwa sijui kaliloga maana halijitambui kabisa. Baada ya kuona nikamuuliza akajibu ni kaka wa mfanyakazi wake wa ndani, but nilinote kuwa ni lijamaa ambalo lilikuwa lipenzi lake, na nilishaliona whatsapp naona wamerudiana (N.B Siishi na huyo mwanamke, nina kwangu na familia). Kwa sababu hiyo niliumia sana ila huyo mwanamke alinitafuta nikutane nae gesti na atalipia wakati siku kabla nilikuwa nalala kwake. sikuweza huo ubwege nikawa mpole. Mwishoni nikajagundua kuwa inawezekana stress za umri wake zinampa shida, maana alinidanganyaga kuwa ana umri wa 24 (2017) kumbe tuko sawa nae (miaka zaidi ya mitano ya aliyoitaja) na huyo chalii kwa haraka haraka atakuwa na miaka 24 kwa sasa. Sijui ndo kijana kaolewa au party time, kwani yupo mpaka muda huu.
Huyo ni mfano tu ila kuna Mwingine kabla sijaoa (nilimuwekea malengo ya kuoa) alifanya la kufanana na hilo japo yeye alipotea hewani kwa muda mrefu sana baadae nilikuja kukutana nae tayari ana mtoto na katelekezwa.
kwa kipindi kirefu nimejihusisha kimapenzi na wanawake tofauti tofauti wa kikurya (I really love them). Nilichojifunza which is common to most of them ni kuwa wanapenda sana ugomvi na kwa upande wangu sijakulia mazingira ya namna hiyo (Sijawahi kuona baba yangu ananyanyua mkono ampige mama). Kuna wa mwisho alikuwa mfanyakazi katika taasisi moja hapa nchini, ndo hatari. Ilikuwa kila baada ya siku mbili anatafuta noma lolote anakomaa nalo hata kama sio kweli. S'times anaweza kukurupuka kuwa twende kwao Musoma nikatambulike na wazazi wakati hatukupanga na ukimwambia inahitaji maandalizi anakwambia ameshajindaa kibajeti. Kuna safari nilienda mwishoni mwa mwaka jana nikakaa almost mwezi na nusu, nilirudi bila kumtaarifu nikakuta kuna lijamaa limeletwa sijui kaliloga maana halijitambui kabisa. Baada ya kuona nikamuuliza akajibu ni kaka wa mfanyakazi wake wa ndani, but nilinote kuwa ni lijamaa ambalo lilikuwa lipenzi lake, na nilishaliona whatsapp naona wamerudiana (N.B Siishi na huyo mwanamke, nina kwangu na familia). Kwa sababu hiyo niliumia sana ila huyo mwanamke alinitafuta nikutane nae gesti na atalipia wakati siku kabla nilikuwa nalala kwake. sikuweza huo ubwege nikawa mpole. Mwishoni nikajagundua kuwa inawezekana stress za umri wake zinampa shida, maana alinidanganyaga kuwa ana umri wa 24 (2017) kumbe tuko sawa nae (miaka zaidi ya mitano ya aliyoitaja) na huyo chalii kwa haraka haraka atakuwa na miaka 24 kwa sasa. Sijui ndo kijana kaolewa au party time, kwani yupo mpaka muda huu.
Huyo ni mfano tu ila kuna Mwingine kabla sijaoa (nilimuwekea malengo ya kuoa) alifanya la kufanana na hilo japo yeye alipotea hewani kwa muda mrefu sana baadae nilikuja kukutana nae tayari ana mtoto na katelekezwa.