Ndoa ya bomani

Ndoa ya bomani

said reuben

Member
Joined
Dec 22, 2018
Posts
62
Reaction score
28
Jamani mm nilikua naomba kujua mtu akitaka kufunga ndoa ya bomani anafata taratibu gani.. Maana kuna mtu kaniambia nilete copy ya passport ya mwanamke booking ticket na cheti changu cha kuzaliwa nimepeleka cha kushangaza Anataka nilipie laki na nusu kwa sabab Anataka kunisaidia wakat I nasemekana ni 50 tu na unatakiwa utoe taharifa siku 21 kabla...
 
Mwanamke sio Mtanzania au?
Cha msingi kupeleka viambatanisho vya msingi ambavyo inatakiwa kupeleka.
Jamani mm nilikua naomba kujua mtu akitaka kufunga ndoa ya bomani anafata taratibu gani.. Maana kuna mtu kaniambia nilete copy ya passport ya mwanamke booking ticket na cheti changu cha kuzaliwa nimepeleka cha kushangaza Anataka nilipie laki na nusu kwa sabab Anataka kunisaidia wakat I nasemekana ni 50 tu na unatakiwa utoe taharifa siku 21 kabla...
 
Mwanamke sio Mtanzania au?
Cha msingi kupeleka viambatanisho vya msingi ambavyo inatakiwa kupeleka.
Ndoa ni elfu 50000 izo nyingine njaa zao tu unawasaidia si unajua vitengo vimebana
 
Jamani mm nilikua naomba kujua mtu akitaka kufunga ndoa ya bomani anafata taratibu gani.. Maana kuna mtu kaniambia nilete copy ya passport ya mwanamke booking ticket na cheti changu cha kuzaliwa nimepeleka cha kushangaza Anataka nilipie laki na nusu kwa sabab Anataka kunisaidia wakat I nasemekana ni 50 tu na unatakiwa utoe taharifa siku 21 kabla...
Hongeraa sana. kwa uandishi huu umepata bahati ya "kuoa" mdhungu!!!!!
 
Back
Top Bottom