Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Miaka ya karibuni kumekua na wimbi LA wazee kuoa slay queen, na wamekua wakiwaona vijana hawana akili Kwa sababu hawawaoi maslay queen Ukweli ni kwamba maslay queen wengi wao ni magold digger...
7 Reactions
64 Replies
11K Views
Unakataa Kuwa dem yangu Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufa Na nakujaa kwa mazishi yako Kukula na kukunywa Nikucheke ukizikwa Unaringaga unaringa nini? Na sura mbaya ata kuliko mbuzi Roho chafu...
3 Reactions
36 Replies
8K Views
DADA ZANGU HUU NI MWAKA WA MABADILIKO. TAKE IT OR LEAVE IT. Umempata bwana... Umempenda kweli... Umemlalamikia kwa nini hakupeleki kwa wazazi.. Bwana akakupeleka kwa wazazi wake...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyie madem wa kichaga hivi kwanini ni wepesi sana mkitongozwa? Hamjui kusema NO. Ni nature yenu au mna huruma sana??. Ukiona demu wa kichaga amekukataa basi wewe unagundu. Narudia na kukazia tena...
10 Reactions
127 Replies
18K Views
Leo nawapa mbinu mbili tu jambo zinaonekana ni dhaifu ila zinafanya kazi kwa asilimia 100% Leo nataja mbinu mbili za aina mbili za mademu 1:Mademu wenye tamaa 2:Mademu wagumu kutoa papuchi wakiwa...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Baby naomba nikuulize kitu "Hivi wewe una mpango gani na mimi?" Kama ulishawahi kutana na swali hili wewe ulijibu nini? Cc Zero IQ.
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Jumapili ya tarehe 3/2/2019, wakati wa matangazo baada ya kumaliza ibada, waumini walisikitika sana pale msoma matangazo alipotoa tangazo kuwa: WANAWAKE WANAOWATUMIA MAPADRE PICHA ZISIZO NA...
8 Reactions
140 Replies
11K Views
Yan dume zima anaandika uzi vizuri af mwisho anaandika POVU RUKSA, binafsi nikishaona maandishi hayo sina hamu ya kuchangia, no matter what. Hizo ni dalili za umayaimayai
4 Reactions
36 Replies
2K Views
1.Mwanaume anayeendesha gari la baba yake si chochote na asilete dharau mbele ya wanaume wanaoendesha baiskeli walizonunua kwa pesa za kazi ya mikono yao 2.Tunapoona mtu amefanikiwa kimaisha si...
12 Reactions
26 Replies
3K Views
Unakuta mnalala na majambazi wachawi walevi wachafu unakuta demu ananuka mdomo vikwapa na sehemu nyingine. Utazani haogi. Utakuta mwanaume anamwanamke mwenyw roho mbaya kama nini hataki kuwasaidia...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Mimi nimekaa mdaa bila mwanamke, kwanin nyie hampo series saiz natafuta wa kushare life tuu story na gambe ndio best friend jamaan kwa yeyote aliyepo interested kuanza safari karibuni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kipindi flani bna nikakutana na muhenga flani hivi kama moyo wangu ukamuelewa vizuri hivi. Tukaanza mahusiano flani Kwa vile nilitaka kuhamia ,nikaona nitest mtambo nikamuambia bna nimepima Nina...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Mambo zenu kwangu mimi nachukia kama mtu hapokei simu yako halafu akipokea anaongea kwa kejeli kama mtu umemchoka mwambie mpo wengi watu wasipende kuchakazana. Ila maisha ya nyakati hizi kuwa na...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za jukwaa wadaku Huyu mama siku za nyuma alivuma sana kwenye tasnia ya kwaya za kumsifia bwana. Kwa mara ya mwisho nimemsikia alipomwagana na Mbasha na kuamua kuolewa na kijana fulani...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Unakuwa kwenye mahusiano na umpendae kwa muda,unahisi upweke Unampigia sim kwenda kumtembelea kwake,anajitahidi kufanya usafi,na kukuandalia chakula kitam#Hapo nakupa hongera sana Baada ya...
14 Reactions
160 Replies
12K Views
Baadae ya kuniandama kwa kuandika bila matumizi ya alama za lugha Ikiwa tupo wengi mnoo Naomba niruhusiwe kuweka kavideo tafadhar
1 Reactions
95 Replies
9K Views
Salamu kwenu wana JF wote. Katika maisha ya kila siku tukiwa kama Binadamu tunakutana na changamoto nyingi. Miaka kama 8 iliyopita kuna ugomvi ulitokea kati yangu na Wifi yangu yaani Mke wa Kaka...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Nawasalimu nyote. Straight to the point. Kuna usemi usemao KILA ZAMA NA KITABU CHAKE. Zama hizi za awamu ya tano kitabu chake kama usipokisoma vizuri unaweza ona marue rue tu. Nakumbuka awamu...
11 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari wakuu Hii ni kwa wale cheap labourers wanaopatikanaa ndani ya jiji la Dar es salaam, hususani wale wote walioajiriwa na taasisi mbalimbali hapa jijini private or z serikalini mnahandle...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
hali ndipo ilipofikia jamani, tusikubali huu upuuzi, ukikuta haya madude mtimue
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…