Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
Kipindi flani bna nikakutana na muhenga flani hivi kama moyo wangu ukamuelewa vizuri hivi.
Tukaanza mahusiano flani
Kwa vile nilitaka kuhamia ,nikaona nitest mtambo nikamuambia bna nimepima Nina mimba.
Yaani alichoniambia nilikoma .Hadi Leo hata niwe na nyege vipi Bora niwe chaputa follower.
Nilijifunza kufunga miguu kusema kweli.
Nilikuwa naonaga masingle maza walivo na stress za baba watoto kweli nawaelewa Sana maana ningekuwa huko saa hizi.
Inauma Sana mtu kukana damu yake
Tukaanza mahusiano flani
Kwa vile nilitaka kuhamia ,nikaona nitest mtambo nikamuambia bna nimepima Nina mimba.
Yaani alichoniambia nilikoma .Hadi Leo hata niwe na nyege vipi Bora niwe chaputa follower.
Nilijifunza kufunga miguu kusema kweli.
Nilikuwa naonaga masingle maza walivo na stress za baba watoto kweli nawaelewa Sana maana ningekuwa huko saa hizi.
Inauma Sana mtu kukana damu yake