Usipate tabu haka ka mchezo ni rahisi sana!

Usipate tabu haka ka mchezo ni rahisi sana!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Leo nawapa mbinu mbili tu jambo zinaonekana ni dhaifu ila zinafanya kazi kwa asilimia 100%
Leo nataja mbinu mbili za aina mbili za mademu

1:Mademu wenye tamaa
2:Mademu wagumu kutoa papuchi wakiwa ghetto

Pindi unapotongoza Demu ukagundua ni Demu kwenye tamaa tamaa ili umpate kirahisi inabidi umpe ahadi kama zile za chama chetu pendwa mwambie baby nimeagiza iPhone X mbili nilitaka nitumie kwenye laini mbili tofauti lakini moja nitakupa wewe

Mwambie kuna nyumba namalizia Arusha nikimaliza naanza ujenzi Mbezi beach,mwambie anaonaje umchukulie mkopo wa 10milioni ni biashara gani anaplan ya kuifanya

Mwambie una rafiki yako yupo south Africa anamiliki chuo kikuu kwahiyo anataka MTU mmoja akasome free kwahiyo muulize kama ana ndugu yeyote anayeweza kumpa hiyo opportunity.

Hapo Mzigo utapewa Fanya na ukishakula kumbuka sana na zingatia sana kumblock.

Hii mbinu nyingine ni kwa wale wademu wakiingia ghetto wanajifanya wagumu kutoa papuchi!

Mzee baba kama ulitumia mbinu zote na zikagonga kwamba sasa hii ni rahisi,baada ya kumuomba akupe Mzigo mkiwa wawili chumbani na hakuna mafanikio yeyote Mzee baba jitoe ufahamu jifanye unalia kabisa serious machozi (paka hata maji machoni lkn asikuone)

Demu akikuona unatoa machozi kwa sababu ya papuchi lazima atakuzawadia kwa huruma.

N:B mbinu hii inafanya kazi kwa asilimia 88%

Kazi kwako

Team kiumeni tumieni mbinu hizo mbili mtaleta marejesho mazuri
 
Mkuu sorry to say this lakini mabeki tatu tu na wanafunzi wa sekondari ndo wanaamini ahadi za uongo.

Mwanamke anayejielewa ukiianza tu sijui na iphone nimeagiza au na nyumba najenga anakudharau.

Mchukue nenda mkatafute frame za duka au mpeleke yard jumamosi afu andika cheki feki uenjoy weekend nzima jumatatu ndo atakuja shtuka cheki ilikua feki
 
Wanawake wa mikoa hatuhangaiki nao kiasi hicho wenyewe wanaelewa show zinavyoenda
 
Piga ngwala akija kushtuka unafunga mkanda ukijisepea zako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom