Yuko wapi Flora Mbasha(Kusekwa)?

Yuko wapi Flora Mbasha(Kusekwa)?

PARADIGM

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2014
Posts
2,774
Reaction score
1,830
Habari za jukwaa wadaku

Huyu mama siku za nyuma alivuma sana kwenye tasnia ya kwaya za kumsifia bwana. Kwa mara ya mwisho nimemsikia alipomwagana na Mbasha na kuamua kuolewa na kijana fulani, baada ya hapo sijawahi kumsikia. Alipotelea wapi?
 
Ilisikika aliolewa na Mr. Kusekwa,bilashaka atakua na maisha yake na mumewe mpya.
 
I don't care how many times you brush your teeth. If you gossip about other people your mouth is still dirty.
@supernaturalincrease
 
Nilipo mtazama usoni, nikigundua kwamba aliingia kwenye ndoa ya kwanza kwasababu ya kutaka kupendwa ama kuwafurahisha watu.
Nikimuangalia leo hii, naona binti amekua mama na ameingia kwenye ndoa na mume aliempenda na sasa yupo tayari kuishi kwa shida na raha.
 
I don't care how many times you brush your teeth. If you gossip about other people your mouth is still dirty.
@supernaturalincrease
Sisikii nyimbo zake, ndiyo maana yangu. Aliacha kuimba?
 
Alisema Gwajima ni mjomba wake.

Cc Gwaji-boy tumuulize
 
Kuna wimbo katoa una kiitikio kifuatacho


I need a Benzo, a Benzo
I need a 'Rari, not Lambo
I need a Benzo, a Benzo
I need a 'Rari, a Enzo (zoom)
I need a (uh, zoom)
I need a 'Rari not Lambo
I need a 'Rari (yeah)
 
Back
Top Bottom