Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hili ni tukio ambalo limenitokea live hapa mtaani kwetu. Hapa ninapoishi mtaani japo nina muda kidogo tangu nihamie, sijaweza kujichanganya sana kiasi cha kufahamiana na watu wengi kivile...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Natumai muwazima wa afya wote mnaotumia JF. Namtafuta rafiki yangu huyu wa muda mrefu sana, ni kitambo sana sijaonana nae yapata miaka 5 sasa na nilipojaribu kwenda alipokuwa anaishi niliambiwa...
2 Reactions
45 Replies
5K Views
Wanaume oyee[emoji123], kuna kipindi dada zetu walitunyanyasa sana kila kona sio jf, fb, insta mpaka tweeter vibamia bamia ila sahivi tumewapa adabu zao kimyaaa. Dada zetu vp mtakuja na mpya...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wanajamvi na imani mpo salama usalmini,bila ya kupoteza muda wacha nirejee katka mada yetu ya leo.Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza kuwa MWANAMKE AKIWA NA SIFA 5 KATI YA HIZI[emoji1427]BASI...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Ningependa kuchukua wasaa huu kuwajulisha wana love connect kwamba ninatafuta rafiki wa kike ambaye baadae tukijaliwa nitapenda awe mke wangu na mimi niwe mume wake. Sifa zangu kwa ufupi ni kama...
7 Reactions
83 Replies
7K Views
Ukiachana na raha ya mapenzi pia kuna feelings za kuvimba unapokuwa na mwanamke mwenye heshima zake kwenye jamii.. Kama 1.Daktari bingwa 2.Manager wa bank 3.waziri 4.mbunge 5.mkuu wa mkoa na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni mjadala ambao nimewakuta wanaume wanabishana sana Walikuwa wanaume kama 6 hivi wakiwa kwenye kijiwe cha kucheza draft Wanasema na nanukuu"Tunapenda wanawake hawa warembo lakini hawana...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
SEHEMU 3:- Karibu tena. Sehemu ya 1 na ya 2 tuliangazia mahitaji 7 kati ya mahitaji yote 18 Muhimu ya Mwanamke ktk Mahusiano.Nayo yalikuwa ni. (1)Amani ya Nafsi. (2)Upendo wa Dhati...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ili uwe kijana wa kisasa , unatakiwa uwaje?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba tukutane tubadilishane uzoefu - lini, ilikuwaje hadi ukala mzigo...vipi K ilikuwaje.....Je maisha yaliendeleaje humo ndani baada ya kula mzigo?
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Swali kwa dada zangu Assume una mahusiano na wanaume wawili,mmoja ana hela Ana uwezo wa kukupa vilaki mbili mpk tatu kwa mwezi na amekuahidi atakununulia gari lakini ana matatizo ya NGUVU za kiume...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wewe mwanamke uliyeolewa na unachepuka na mume wa mtu. Ikitokea umefumaniwa na kuachwa na mumeo plan B yako ni ipi? Ewe mwanaume uliye oa na unachepuka na mke wa mtu ikitokea mmefumaniwa au...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Na Joachim Mkwawa [emoji2398]Rejesha Mahusiano Yaliyovunjika. Habari yako ndugu na Mwanajamii mwenzangu. Leo nataka uyajuwe,ujifunze na utimize wajibu wako kwa Mpenzi wako ama...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Kazi mnayo Vijana wachaga sio Mende
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu Kuna mahali nimesikia eti ukitaka kupata taswira halisi ya mdada basi we jifanye umejichanganya utokezee kwao mapema sana ile asubuhi. Eti hapo ndo utaiona "taswira" yake halisi (na sio...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Baada ya kitambo flani kupita sasa na kina Dada wameamua kukaa vikao vyao pendwa, Na kama mnavyojua mabaharia mpaka leo hatujui waliongea nini na Joka kuu kwenye kikao chao kule heden...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
INASEMEKANA: Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima. Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2 Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi... Yule dem aliyekuwa akiniona anakimbia leo nimemgegeda akiwa na rafiki yake yani picha lilikuwa hivi... Baada ya kuwa ananikimbia sana nikawa najenga nae urafiki taratibu...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Mwanaume unatakiwa kuwa na ubongo wenye macho kujua wazo linakokwenda na masikio yenye mzani wa kupima kila kauli ,na moyo wenye utulivu kuweza kuwa na subira katika uwekezaji wa mapenzi. Mtandao...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukiwa nae ukiona mwenzio anachart sana na simu hasa message (bila wewe kuona ) , muogope sana ! Ukiona akipigiwa cm anasogea pembeni au chooni , muogope kama ukoma ! Ukiona yeye (mwanamke) ndo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…