HEBU TUTAFAKARI KWA PAMOJA KUHUSU HII

HEBU TUTAFAKARI KWA PAMOJA KUHUSU HII

Mwami Kabuyuki

Senior Member
Joined
Dec 4, 2018
Posts
157
Reaction score
309
INASEMEKANA: Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima.

Wanawake ni bilioni 5.6
Wanaume ni bilioni 2.2

Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume.

Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2:

1. Bilioni 1 tayari wamekwishaoa.

2. Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili.

Wanabaki wanaume bilioni 1 tu [emoji23] .

3. Milioni 500 hawana kazi.

4. Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja.

5. Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.

6. Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa.

7. Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.

leta Maoni yako au ushauri
 
Kama ni hivyo punyeto mnapiga kwa sababu ipi?

Na utambue kuwa hata hao wanawake bilioni 5 wapo masister, mateja, wafungwa na ndugu zako pia hivyo usilete takwimu hewa.
Mkuu.....Suala la Punyeto hapa halihusiki kabisa.....mengine nakubaliana na wewe ni takwimu hewa
 
Na kila mwanamke ninayemfuata yupo kwenye mahusiano.
 
Back
Top Bottom