Wewe mwanamke uliyeolewa na unachepuka na mume wa mtu. Ikitokea umefumaniwa na kuachwa na mumeo plan B yako ni ipi?
Ewe mwanaume uliye oa na unachepuka na mke wa mtu ikitokea mmefumaniwa au mumewe kajua na kuamua kumuacha mkewe, plan B yako kwa huyo mchepuko ni ipi?
Ewe mwanaume uliye oa na unachepuka na mke wa mtu ikitokea mmefumaniwa au mumewe kajua na kuamua kumuacha mkewe, plan B yako kwa huyo mchepuko ni ipi?