cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,586
- 8,389
Ni mjadala ambao nimewakuta wanaume wanabishana sana
Walikuwa wanaume kama 6 hivi wakiwa kwenye kijiwe cha kucheza draft
Wanasema na nanukuu"Tunapenda wanawake hawa warembo lakini hawana lolote kunako sita kwa sita,unakutana na binti au mwanamke mrembo haswa,ila ukienda naye hana kitu ni urembo wa bure tu
Mwingine anasema,"Wanawake weusi halafu sio wazuri sana ndio wanaoweza mchezo,anakupa ushirikiano mwanzo mwisho mpaka unanyosha mikono mwenyewe,lakini warembo hawa ukishakojoa au ukamkojolesha,mchezo unaofuata ni kama unambaka,wengne hukataa
Mwingine akasema,hasa wanawake super stars na wanaojiita wasomi,ukiwa naye sita kwa sita,unaweza ukajilaumu mwenyewe,au ukiwa naye kwenye mahusiano,kukupa penzi labda yeye ajisikie kukupa sio wewe utake
Mwingine akadai,yeye alikuwa na mwanamke ila hakuwa mrembo sana,urembo wake ulikuwa wa kutafuta kwa manati,akaja akadate na mwanamke mrembo balaa,moja kwa moja akakataka mawasiliano na yule wa mwanzo ili asimuharibie na mke wake mpya,siku amepewa penzi alijutia kukata mawasiliano na baby wake wa mwanzo,walivyoendelea ikabidi amuombe msamaha mke wa mwanzo waendelee
Wanawake warembo jamani tunakwama wapi?
Walikuwa wanaume kama 6 hivi wakiwa kwenye kijiwe cha kucheza draft
Wanasema na nanukuu"Tunapenda wanawake hawa warembo lakini hawana lolote kunako sita kwa sita,unakutana na binti au mwanamke mrembo haswa,ila ukienda naye hana kitu ni urembo wa bure tu
Mwingine anasema,"Wanawake weusi halafu sio wazuri sana ndio wanaoweza mchezo,anakupa ushirikiano mwanzo mwisho mpaka unanyosha mikono mwenyewe,lakini warembo hawa ukishakojoa au ukamkojolesha,mchezo unaofuata ni kama unambaka,wengne hukataa
Mwingine akasema,hasa wanawake super stars na wanaojiita wasomi,ukiwa naye sita kwa sita,unaweza ukajilaumu mwenyewe,au ukiwa naye kwenye mahusiano,kukupa penzi labda yeye ajisikie kukupa sio wewe utake
Mwingine akadai,yeye alikuwa na mwanamke ila hakuwa mrembo sana,urembo wake ulikuwa wa kutafuta kwa manati,akaja akadate na mwanamke mrembo balaa,moja kwa moja akakataka mawasiliano na yule wa mwanzo ili asimuharibie na mke wake mpya,siku amepewa penzi alijutia kukata mawasiliano na baby wake wa mwanzo,walivyoendelea ikabidi amuombe msamaha mke wa mwanzo waendelee
Wanawake warembo jamani tunakwama wapi?