Wanaume wanasema wanawake warembo tunakwama wapi?

Wanaume wanasema wanawake warembo tunakwama wapi?

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,586
Reaction score
8,389
Ni mjadala ambao nimewakuta wanaume wanabishana sana

Walikuwa wanaume kama 6 hivi wakiwa kwenye kijiwe cha kucheza draft

Wanasema na nanukuu"Tunapenda wanawake hawa warembo lakini hawana lolote kunako sita kwa sita,unakutana na binti au mwanamke mrembo haswa,ila ukienda naye hana kitu ni urembo wa bure tu

Mwingine anasema,"Wanawake weusi halafu sio wazuri sana ndio wanaoweza mchezo,anakupa ushirikiano mwanzo mwisho mpaka unanyosha mikono mwenyewe,lakini warembo hawa ukishakojoa au ukamkojolesha,mchezo unaofuata ni kama unambaka,wengne hukataa

Mwingine akasema,hasa wanawake super stars na wanaojiita wasomi,ukiwa naye sita kwa sita,unaweza ukajilaumu mwenyewe,au ukiwa naye kwenye mahusiano,kukupa penzi labda yeye ajisikie kukupa sio wewe utake

Mwingine akadai,yeye alikuwa na mwanamke ila hakuwa mrembo sana,urembo wake ulikuwa wa kutafuta kwa manati,akaja akadate na mwanamke mrembo balaa,moja kwa moja akakataka mawasiliano na yule wa mwanzo ili asimuharibie na mke wake mpya,siku amepewa penzi alijutia kukata mawasiliano na baby wake wa mwanzo,walivyoendelea ikabidi amuombe msamaha mke wa mwanzo waendelee

Wanawake warembo jamani tunakwama wapi?
 
Mrembo akikutana mwanaume hajui kuliendesha dudu,ajishughulishe nn sasa? Wanaume msisahau mapungufu yenu.
 
Ni mjadala ambao nimewakuta wanaume wanabishana sana

Walikuwa wanaume kama 6 hivi wakiwa kwenye kijiwe cha kucheza draft

Wanasema na nanukuu"Tunapenda wanawake hawa warembo lakini hawana lolote kunako sita kwa sita,unakutana na binti au mwanamke mrembo haswa,ila ukienda naye hana kitu ni urembo wa bure tu

Mwingine anasema,"Wanawake weusi halafu sio wazuri sana ndio wanaoweza mchezo,anakupa ushirikiano mwanzo mwisho mpaka unanyosha mikono mwenyewe,lakini warembo hawa ukishakojoa au ukamkojolesha,mchezo unaofuata ni kama unambaka,wengne hukataa

Mwingine akasema,hasa wanawake super stars na wanaojiita wasomi,ukiwa naye sita kwa sita,unaweza ukajilaumu mwenyewe,au ukiwa naye kwenye mahusiano,kukupa penzi labda yeye ajisikie kukupa sio wewe utake

Mwingine akadai,yeye alikuwa na mwanamke ila hakuwa mrembo sana,urembo wake ulikuwa wa kutafuta kwa manati,akaja akadate na mwanamke mrembo balaa,moja kwa moja akakataka mawasiliano na yule wa mwanzo ili asimuharibie na mke wake mpya,siku amepewa penzi alijutia kukata mawasiliano na baby wake wa mwanzo,walivyoendelea ikabidi amuombe msamaha mke wa mwanzo waendelee

Wanawake warembo jamani tunakwama wapi?
Mnakwamiabpale mnappdhani urembo wenu ndo kila kitu... Urembo unapiga uno, urembo unatoa mapenzi
 
Yasemwayo yapo... ila..

Kila binadamu amaeumbwa tofauti, haijalishi ni mrembo au sii mrembo, ni mzuri au sii mzuri... ni mnene au mwembamba... ni mweusi au mweupe...

Huyu damu imelala, huyu damu imechangamka... mwisho wa siku utamu wa penzi ni hisia zako mwenyewe...




Cc: mahondaw
 
Ila kuna kaukweli....niliwahi pata demu Fulani jeusi tii ,lina kamsambwanda si haba,aisee lile toto lilikuwa hatari.....siku tatu ndani yaan tukitoka nje basi n kuoga tu na kwenda uani,kwa kweli weusi hawajawahi niferisha
 
Huwez kua kamili kila sector... Mungu hakupi vyote ....
..kuna wanawake wengine n wazur mnoo ila huko chini kumejaa maji mpaka unajutia kua nae...ukipg moja huna ham ya kuendelea
 
Ila kuna kaukweli....niliwahi pata demu Fulani jeusi tii ,lina kamsambwanda si haba,aisee lile toto lilikuwa hatari.....siku tatu ndani yaan tukitoka nje basi n kuoga tu na kwenda uani,kwa kweli weusi hawajawahi niferisha
Kwel mkuu madem weuc n watam sana
 
Iko hivi....warembo wengi Kibri cha uzuri kinawaponza, sawa umenivutia kwa urembo wako tukawa wapenzi au tukaoana, tekeleza jukumu na onyesha viwango....ingawa hutegemea na ushirikiano wa mwanaume!

Hili la warembo kutoa kua na "viwango" ni mtihani sana kwa waliooa manake hata majukumu ya kawaida hawa viumbe (baadhi) hawafanyi...
 
Iko hivi....warembo wengi Kibri cha uzuri kinawaponza, sawa umenivutia kwa urembo wako tukawa wapenzi au tukaoana, tekeleza jukumu na onyesha viwango....ingawa hutegemea na ushirikiano wa mwanaume!

Hili la warembo kutoa kua na "viwango" ni mtihani sana kwa waliooa manake hata majukumu ya kawaida hawa viumbe (baadhi) hawafanyi...
Wapunguze kiburi
 
Back
Top Bottom