Eti Ukitaka Usioe Nenda Kwa Mdada Mapema Asubuhi

Eti Ukitaka Usioe Nenda Kwa Mdada Mapema Asubuhi

Masulupwete

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
2,366
Reaction score
2,438
Wakuu

Kuna mahali nimesikia eti ukitaka kupata taswira halisi ya mdada basi we jifanye umejichanganya utokezee kwao mapema sana ile asubuhi.

Eti hapo ndo utaiona "taswira" yake halisi (na sio zile wanazopost kule insta, facebook n.k).

Eti paaaap....unakuta mtu ana sura kama anaskilizia maumivu ya kukata vitunguu.

Eti hata kama ulikuwa na mpango wa kutwaa mazima, unaweza kurudisha mpira kwa kipa.

Wakuu kuna ukweli hapa?
 
Najihisi society ya JF itaniona too low kukomenti kwenye huu uzi sijui kwann...

May be kwasababu ya mtazamo wa kitoto wa mleta mada
 
Hapo ndio tunaona tofauti kati ya wanaume na wavulana
Wakuu

Kuna mahali nimesikia eti ukitaka kupata taswira halisi ya mdada basi we jifanye umejichanganya utokezee kwao mapema sana ile asubuhi.

Eti hapo ndo utaiona "taswira" yake halisi (na sio zile wanazopost kule insta, facebook n.k).

Eti paaaap....unakuta mtu ana sura kama anaskilizia maumivu ya kukata vitunguu.

Eti hata kama ulikuwa na mpango wa kutwaa mazima, unaweza kurudisha mpira kwa kipa.

Wakuu kuna ukweli hapa?
 
Vizuri zaidi wavizie wakiwa vilioni,utakuta dem analia huku mashavu yake kama anapuliza moto[emoji3]
 
Sura sio kigezo cha kumfanya mtu aolewe mwanamke ni tabia na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom