Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,438
Wakuu
Kuna mahali nimesikia eti ukitaka kupata taswira halisi ya mdada basi we jifanye umejichanganya utokezee kwao mapema sana ile asubuhi.
Eti hapo ndo utaiona "taswira" yake halisi (na sio zile wanazopost kule insta, facebook n.k).
Eti paaaap....unakuta mtu ana sura kama anaskilizia maumivu ya kukata vitunguu.
Eti hata kama ulikuwa na mpango wa kutwaa mazima, unaweza kurudisha mpira kwa kipa.
Wakuu kuna ukweli hapa?
Kuna mahali nimesikia eti ukitaka kupata taswira halisi ya mdada basi we jifanye umejichanganya utokezee kwao mapema sana ile asubuhi.
Eti hapo ndo utaiona "taswira" yake halisi (na sio zile wanazopost kule insta, facebook n.k).
Eti paaaap....unakuta mtu ana sura kama anaskilizia maumivu ya kukata vitunguu.
Eti hata kama ulikuwa na mpango wa kutwaa mazima, unaweza kurudisha mpira kwa kipa.
Wakuu kuna ukweli hapa?