Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wakuu Kwanza niwaombe samahan kwa wale niliowakwaza kwa namna 1 na nyingine. Pili Jana nililala ndani lakini cha Ajabu saiv najikuta nipo nje sijui kwa nini.. Kwa wale Wachungaji na wenye mizizi...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Kwa Mara nyingine tena nasafiri kikazi naenda Brazil mimi ni mtanzania msomi kweli kweli.. Tafadhali ninamwacha mke wangu mpya kabisa wale wa mtaa wa masaki nyumba namba 504 HKF/4 msiende pale...
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Weekend ya jana niliona nitoke kupiga mbili tatu usiku nikaopoa demu, nikapiga misuli ya maana asubuhi baada ya pombo kunikata demu yupo kitandani hajiwezi kuchungulia nikakutana na hii makitu...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
SEHEMU YA 2. Na Joachim Mkwawa [emoji2398]Rejesha Mahusiano Yaliyovunjika. Habari mpendwa; Natumai umzima wa afya. Karibu na uungane nami tena leo katika mada yetu na leo tupo sehemu ya 2...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Hii kitu nimenote sana kwa wapenzi wangu niliokuwa nao kwenye mahusiano zaidi ya miezi 6 na kuendelea, achana na hao ninaowala na kuwaacha kwa siku moja au wiki, Wengi wao huwa wanaumia sana...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Katika kujifunza nilijaribu kupitia 'youtube' nikawa naangaliwa namna wanajeshi wa marekani wanavyopokelewa na wapenzi wao/familia baada ya kutoka huko walikodumu kwa kufanya kazi (nje ya nchi...
0 Reactions
0 Replies
386 Views
Kisasi kilichobora kuliko vyote ni kutokulipa kisasi kabisa. Ni kutokumfugia chuki wala hasira kwa sababu kwa kufanya hivo itakufanya uendelee kumfatilia na kuzidi kuumia. Kisasi kizuri ni kuamua...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa nini tunapenda kulala na watu tusiowajua kiundani?Kwa mfano mwanaume/mwanamke unakutana na mpenzi wako ambaye sio mkeo au mume,kwa bahati mbaya mauti inamkuta akiwa kwako au mkiwa naye nyumba...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Hello, Naitwa Sandra, Nipo New York, nampenda mume wangu Sana, naweza kufanya chochote ili nimridhishe na kumfurahisha.. Lakini hivi karibuni, nimetokea kumpenda binamu wa mume wangu.. Tena...
0 Reactions
4 Replies
829 Views
Wana Jukwaa mpo? Dunia inaenda kasi sana hawa viumbe aka wanawake wamekua na viburi sana. Wanawake wa sikuhizi ukiishi nae kwa kumlambalamba atakusumbua yaaani wanataka uwe unachapa vibao na fimbo...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Using a condom is a sign that you are having sex with a person you're not supposed to be having sex with
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari wakuu, natumaini siku ya leo inaenda vyema, katika mizunguko yangu ya siku ya jana nilikutana na dada mmoja hotelin katika maongezi ya hapa na pale nikamuuliza swali umeolewa au boyfriend...
4 Reactions
72 Replies
11K Views
Kuacha kunyonya sio rahisi licha ya kuwekea pilipili kwenye titi
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Natumain mpo salama, Nnamchumba wangu ambay tuna miezi mi 5 kwenye mahusiano yetu,majuz aliniacha na kusema hatak tena mahusiano, hatukua na ugomv ingaw ni mda nlishaon mapenz yamepungua toka...
2 Reactions
50 Replies
4K Views
Kwa nyakati tulizopo,wanaume tusipende wake za watu wala wanawake wasipende waume za watu hii ni kwa afya ya kuishi miaka mingi yenye amani na furaha tele.Ridhika na uliyenaye...kama ni gogo huyo...
10 Reactions
23 Replies
2K Views
Mapenzi ni kitu cha Ajabu sana. Mapenzi yaweza kumea mahala popote bila kujali lolote. Compaund ambayo nakaa ina Nyumba 4 zote ni za kupangisha. Tumepanga watu tofauti kila mmoja na shughuli yake...
13 Reactions
83 Replies
6K Views
Wakuu siku nyingi nimekuwa nikitamani hii kitu, Siku ya Jumanne ya tar16/07/2019 ndio siku Nimechukua hatua hiyo. Tofauti na nilivyofikiria mapokezi yalikuwa mazuri na tuliandaliwa chakula pale...
18 Reactions
101 Replies
13K Views
Aisee Katika manzi nnazozi'feel ni hii mamilox inayoitwa Halima Mdee,Halima Mdee Nampenda laana,yaani hata atembee na Machalii elfu18 mimi ntakua wa elfu19 Bablae,Yaani hata azeeke ntamwekea Picha...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
habari wadau.. naona lawama nyingi kwa wanawake nowdays.. kwa ufupi tu wanaume tunapaswa tukubali ukweli maisha yamebadilika, na wanawake hawajaumbwa kuhangaika.. kwa hiyo wanahitaji security...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Binafsi nina miaka 30-34 naishi dar Elimu yangu ni shahada ya kwanza Dini ni mkiristo Ninahitaji mwanamke ambae atakuwa mke wangu wa ndoa awe mkiristo kama mimi na umri kuanzia 24-26 asiwe na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…