Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Niende moja kwa moja kwenye Kusimulia.Bila shaka kila mtu amepitia utoto na katika utoto huo pengine alikuwa na tabia fulani mbaya mbaya. Kwa upande wangu moja ya tabia mbaya niliyokuwa nayo...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Habar wana jf Kuna wimbi kubwa sana la wanawake kwa wanaume kutafuta wachumba ama wapenzi ktk social Media hasa hapa jf. Binafsi nimekuwa nikijiuliza ni kweli wapo watu ambao wamefanikiwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Yaani hawa wake zetu sijui wapendwe vipi,mtu anahudumiwa na mmewe lakini bado tamaa mbele yaaani ni shida tupu. Wadau kisa chenyewe kinaanza kama hiv: Katika pita pita kufanya shopping nikafika...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habar mabaharia wa jf , Leo nimerudi kidogo na ka mkasa flani hivi Ni mda kidg wife hayupo home ,nimekua ninaishi alone Sasa hapa jirani kwetu kulikua na kaschana (mwanafunzi) alimzoea sna...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Heshima kwenu great thinkers Bila kupoteza muda let me go straight to the point. I've been looking for a beautiful girl ambae tunaeza kuwa na serious relationship and maybe later tuwe...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu msaada, Mimi na mapenzi wangu tunatumia WhatsApp sana katika mawasiliano yetu. .Hivi Karibuni kaweka WhatsApp yake bila last seen, kwa maana ya kwamba huwezi jua yupo online au...
1 Reactions
116 Replies
18K Views
Habar wana jf? Nibaada ya kupokea kipgo kwa wazee wa kuweka mzigo nimechalazwa laki [emoji1787][emoji1787] hvyo tudiscuss hii maada, ngoja niende direct. Unawezaje kummudu mwanamke anaye omba omba...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau nimekuwa natatizo la kisaikolojia (Physichological Effect) Kila anapokatiza mwanamke mwenye Wowowo au makalio Makubwa yani moyo huwa unaenda mbio Sana huku nikibaki namshangaa.... Wakuu...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Sipo kwenye ndoa japo najiandaa kuwa namke. Niwe mkweli nikwamba nimeishapata mtoto wa nje tatizo langu kubwa nikushindwa kufikia maamuzi ya yupi nimuoe. Mdada niliyezaa naye miaka mitatu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huyu kijana ambae ni kaka mshikaji kiaina kwa sasa baba yake alikua mfanya biashara. Biashara ilianza kunenepa wakati wa awamu wa pili, awamu ya tatu biashara ilikua nzuri kiasi ambacho msure...
14 Reactions
74 Replies
8K Views
Naenda kwenye Maada Juzi tumelala na mwanamke wangu mda huo mimi npo kwenye usingizi mara nasikia saut ya mtu analia nikaamka taratibu nikaona mke wangu yupo kwenye doto akiota anafanya mapezi...
2 Reactions
65 Replies
7K Views
Habari wakuu, Tujipongeze kwa harakati za kujenga Tanzania yenye viwanda Twende moja kwa moja kwenye mada yetu,wazee wa kuuza mechi za ugenini, kavukavu bila soksi Hivi unajickiaje unaruka na...
2 Reactions
50 Replies
5K Views
Nataka kuvuka boder wakuu kwenda kuemea manzi wa kitusi Sasa sijajua background zao Kwa wale wandugu wanao wajua in out hawa viumbe wa kitusi ebu nipen details zao na behavior zao wakoje maisha...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Ndugu yetu Abdulkarim anaomba msaada wa kimawazo kwenu wadau (masheikh na mapadri) mlioko humu ndani. Yeye alikuwa ni muislam mzuri kabisa aliyefanikiwa kuoa wanawake watatu kama dini yake...
7 Reactions
85 Replies
8K Views
Kwa kweli najiuliza maswali ambayo labda wadau humu mtakuwa na majibu. Mwanamke anatoa wapi na anapata wapi ujasiri wa kuwa na kufuga kitambi? Mwanamke anakosa haya kabisa wala aibu anakuwa na...
2 Reactions
53 Replies
6K Views
Watu wengi walioshi nchi za nje ya Tanzania hata nchi za Africa tu kama sisi wanasema hiki kitu tunacho zaidi watanzania..ni kama utamaduni hivi'' Ntakupa mifano hai ambayo binafsi nimeshuhudia...
45 Reactions
85 Replies
7K Views
Jamaa bila shida kamuachia,haya ni maamuzi yanaitwa ya kiume
2 Reactions
35 Replies
6K Views
Naombeni ushauri, Kuna mdada fulan nafanya naye kazi, akiniona nasimama na mdada mwingine anakasirika badae ananiita ananiuliza kwanini naongea na Yule dada. Nimemtongoza amekataa ananiambia...
14 Reactions
219 Replies
23K Views
Huyu dada tupo naye ofisini. Of course hana cheo kikubwa lakini anapata kamshahara ka kumwezesha kumiliki gari za Mjapani mbili. Ana Toyota Harrier mnazosema new model na Mark X. Alinambia...
34 Reactions
95 Replies
10K Views
Wakuu naomba msahau mengine yote afu tu concentrate na hii kitu,,wazee wa kuchimbua makaburi tafadhalini sana,haya ni maisha tu na tunapitia na kufanya vitu vingi,,na mkumbuke mimi ni binadamu wa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…