Nauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa?
Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka
With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote...
Mwaka ndiyo kwanza umeanza ila humu jukwaani zimejaa nyuzi za makasiriko, malalamiko, vijembe; “wanawake hawana mchango wowote?", “kwanini mnazeeka na hamuolewi?” mara "mna nini cha ku-offer? au...
Nini inasababisha hapa bongo wanaume kuteseka zaidi kuhusu wanawake kuolewa au kutoolewa kuliko hata wanawake wenyewe?
Wanaume bongo wako obsessed sana na suala la wanawake kuolewa mapema...
Gari lililopata kumilikiwa na watu wengi si zuri kwako. Kila utakapopita nalo utakutana na watu wanaojitapa kulijua vzr kwa sababu walipata kulitumia; wapo watakaoelezea namna walivyokuwa...
Waakuu, rejea kichwa hicho km kinavyojieleza hapo juu, namaanisha kichwa cha habari. Siku za hivi karibuni nikikutana na Mwanamke ambae havai Shanga haanipi amsha amsha kabisa.
Why? Wanawake...
Wanasemaga usimdharau mtu usie mjue, kuna siku nilipangiwa mishe ya kikazi kwenye moja ya mkoa fulani hivi hapa nchini
Tukiwa kwenye hizo site kuna mrembo mmoja akawa analeta mazoea na mimi, japo...
Moja ya tofauti kubwa kati ya mwanamke na mwanaume ni umbo. Umbile la mwanamke hata kwa nyuma tu unajua hiki kitu....
Mimi ndo maana napendelea sana wanawake wenye MAKEBO MAKUBWA. Yaani Matako...
Yani hakuna vishawishi vyovyote uivyopitia, umelala vizuri, ila unaamka, unahali mbaya sana, unahamu kali sana ya kufanya mapenzi, nini kinakua kimetokea? kama hii sku ya leo ni hatari sana
Ndugu zangu wana JF baada ya kupambana na maisha kwa mrefu bila kutoboa,na nilishajiapiza kua siwezi kuoa mpaka hali ya Uchumi Ikae Sawa.
Sasa Nimeamua kuteungua Msimamo Wangu Naona Umri Unaenda...
Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha?
Je, anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na...
Wakuu salaam.
Tujitaidi kuosha mikono kwa maji na sabuni, kuvaa barakoa na tujiepushe kugusa uso.
Sijui ni kwanini nina bahati mbaya naeza kusema kwasababu siwapendi wanawake walionizidi umri...
Habari zenu wana jamvi!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nimeoa na nina mtoto mmoja na maisha yangu sio mazuri sana huwa napenda kubet sana au kucheza game za token zile za wachina.Sasa...
Mimi bado kijana damu bado ya moto, ni madem wengi wananipaparukia lakini stimu zangu huwa zipo kwa majimama (shuga mummy) .
Kuna jimama moja nimelipata Dar mtaa mmoja unaitwa Chamazi , sasa...
wanawake wanapitia magumu sana haswa wakianza kuvunja ungo. Hapo ndo shida rasmi zinaanza ule usumbufu wa kuingia period kila mwezi na wengine period zao zinaingia na maumivu pamoja na kutokwa na...
Ni kweli ni mpenzi wako, lakini siyo kila kitu cha kwenye familia yako au ukoo wako anapaswa kujua vingine vibaki siri ya ukoo wako ili kuilinda heshima yako kwa huyo mwenza wako.
Punguza kusema...
Poleni na majukumu wazee watarajiwa.
Kuna nyakati mtu unakaa na kuyatafakari maisha, ni juzi tu tulikuwa vijana, tunaenda huku na kule maisha safi. Leo hii tupo kwenye umri ambao tayari ni wazee...