Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Nauliza tu swali kwanini wake za watu ni wepesi na wanaongoza kuchepuka kuliko wasichana wasioolewa? Wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka With experience Nimetongiza wanawake 8 na wote...
22 Reactions
516 Replies
5K Views
Mwaka ndiyo kwanza umeanza ila humu jukwaani zimejaa nyuzi za makasiriko, malalamiko, vijembe; “wanawake hawana mchango wowote?", “kwanini mnazeeka na hamuolewi?” mara "mna nini cha ku-offer? au...
21 Reactions
413 Replies
4K Views
Nini inasababisha hapa bongo wanaume kuteseka zaidi kuhusu wanawake kuolewa au kutoolewa kuliko hata wanawake wenyewe? Wanaume bongo wako obsessed sana na suala la wanawake kuolewa mapema...
11 Reactions
51 Replies
547 Views
Raha ya shanga mwanamke ajue kuzungusha kiuno asa unakuta mwanamke kavaa shanga afu kitandani gogo miuno zero.
2 Reactions
31 Replies
444 Views
Gari lililopata kumilikiwa na watu wengi si zuri kwako. Kila utakapopita nalo utakutana na watu wanaojitapa kulijua vzr kwa sababu walipata kulitumia; wapo watakaoelezea namna walivyokuwa...
8 Reactions
21 Replies
352 Views
  • Redirect
Waakuu, rejea kichwa hicho km kinavyojieleza hapo juu, namaanisha kichwa cha habari. Siku za hivi karibuni nikikutana na Mwanamke ambae havai Shanga haanipi amsha amsha kabisa. Why? Wanawake...
1 Reactions
Replies
Views
Wanasemaga usimdharau mtu usie mjue, kuna siku nilipangiwa mishe ya kikazi kwenye moja ya mkoa fulani hivi hapa nchini Tukiwa kwenye hizo site kuna mrembo mmoja akawa analeta mazoea na mimi, japo...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Moja ya tofauti kubwa kati ya mwanamke na mwanaume ni umbo. Umbile la mwanamke hata kwa nyuma tu unajua hiki kitu.... Mimi ndo maana napendelea sana wanawake wenye MAKEBO MAKUBWA. Yaani Matako...
6 Reactions
23 Replies
472 Views
Sijui na tatizo lpi kila nnayemtongoza ananikataa.saiv n mara ya saba bila matokeo,nifanyaje wakuu
4 Reactions
18 Replies
271 Views
Yani hakuna vishawishi vyovyote uivyopitia, umelala vizuri, ila unaamka, unahali mbaya sana, unahamu kali sana ya kufanya mapenzi, nini kinakua kimetokea? kama hii sku ya leo ni hatari sana
10 Reactions
57 Replies
883 Views
Ndugu zangu wana JF baada ya kupambana na maisha kwa mrefu bila kutoboa,na nilishajiapiza kua siwezi kuoa mpaka hali ya Uchumi Ikae Sawa. Sasa Nimeamua kuteungua Msimamo Wangu Naona Umri Unaenda...
5 Reactions
49 Replies
477 Views
Unakuta sharobalo amepiga pamba kali, misifa mingi ukifika nyumbani kwake hana kitanda wala godoro, analala kwenye mabox na sandalusi. Wanaume tujitutumue tununue angalao godoro.
8 Reactions
51 Replies
852 Views
Mwanaume au mwanamke anapofanya mapenzi je anabarikiwa au analaanika? Je, anapata uchungu, au furaha? Je, anahisi upendo, je, anakupenda? Ngono ni ibada ya kubadilishana nguvu, mawazo, hisia, na...
39 Reactions
253 Replies
20K Views
Wakuu salaam. Tujitaidi kuosha mikono kwa maji na sabuni, kuvaa barakoa na tujiepushe kugusa uso. Sijui ni kwanini nina bahati mbaya naeza kusema kwasababu siwapendi wanawake walionizidi umri...
4 Reactions
85 Replies
14K Views
Habari zenu wana jamvi! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nimeoa na nina mtoto mmoja na maisha yangu sio mazuri sana huwa napenda kubet sana au kucheza game za token zile za wachina.Sasa...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Mimi bado kijana damu bado ya moto, ni madem wengi wananipaparukia lakini stimu zangu huwa zipo kwa majimama (shuga mummy) . Kuna jimama moja nimelipata Dar mtaa mmoja unaitwa Chamazi , sasa...
6 Reactions
77 Replies
8K Views
wanawake wanapitia magumu sana haswa wakianza kuvunja ungo. Hapo ndo shida rasmi zinaanza ule usumbufu wa kuingia period kila mwezi na wengine period zao zinaingia na maumivu pamoja na kutokwa na...
5 Reactions
20 Replies
440 Views
Ni kweli ni mpenzi wako, lakini siyo kila kitu cha kwenye familia yako au ukoo wako anapaswa kujua vingine vibaki siri ya ukoo wako ili kuilinda heshima yako kwa huyo mwenza wako. Punguza kusema...
11 Reactions
27 Replies
438 Views
Poleni na majukumu wazee watarajiwa. Kuna nyakati mtu unakaa na kuyatafakari maisha, ni juzi tu tulikuwa vijana, tunaenda huku na kule maisha safi. Leo hii tupo kwenye umri ambao tayari ni wazee...
16 Reactions
87 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…