Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mwanasaikolojia Charles Nduku akihojiwa kupitia Clouds Media, amesema kwa mazingira ya sasa usimruhusu mtoto wako kulala na mtu yeyote. Anaeleza... "Unajua jaribu kutafuta historia... tuchukue...
0 Reactions
4 Replies
80 Views
Njoo ubishe Kwa mwanaume akisha balehe tu utamu unaanza hapo Ila Kwa mwanamke anaanza kuhisi raha halisi ya sex pale anapofikisha miaka 28, ndio maana ukimpata mwanamke mwenye miaka hiyo na...
3 Reactions
27 Replies
287 Views
Salaam wakuu, kwanza naomba ifahamike kataa ndoa ni chama chenye kulinda haki na maslahi ya jinsia zote zinazo tambulika kisheria. (me na ke). Chama hiki kilianzishwa baada ya kushamiri kwa...
17 Reactions
422 Replies
4K Views
Wakuu leo nimekaa nikatafakari sana hivi ili wanawake wasikusumbue unatakiwa kua na pesa? 2 au kua na mwanamke mmoja? 3 au kua handsam? nimejiuliza mara nyingi sijapa jibu we unaona w WANAWAKE...
7 Reactions
48 Replies
484 Views
"Aah... hawa nao si wazime hizo camera sasa." "Kwani wao ndiyo wamezaa peke yao?" "Sawa tumeelewa, mtoto kazaliwa... sasa ndo kila saa?" "kuna watu wanachezea hela." "sijui niwa unfollow hawa...
7 Reactions
54 Replies
778 Views
Asalalleh..........natumai mu wazima wa afya njema wagonjwa wote Mungu awape uponyaji. Ndugu zangu leo ningependa niulize hili swali kwa pande zote. Kama wewe ni kijana hujaoa, binti hujaolewa...
6 Reactions
42 Replies
447 Views
Binti wa zamani umepotea sana JF ukiwa hauko kunaboa sana.nmemiss zile nyuzi za baba mjengo zilizojaa mahaba tele.
1 Reactions
2 Replies
47 Views
Hellow wana JF. Siku hizi kumeibuka makundi ya watu wanaokula wake za watu na kuwatupia lawama waume zao kwamba hawatimizi majukumu yao yote kama mume. Swali langu kwa wewe unaye kula wake za...
24 Reactions
205 Replies
3K Views
Chapter +1. Still the main character👸 May this new age of mine be good and kind as i am…. 🥂to more many steps ahead 🥳🥳🥳
18 Reactions
67 Replies
587 Views
Wanawake tunapenda Kupendwa, Kuheshimiwa, Kuthaminiwa, kusikilizwa,Kusifiwa, kuhudumiwa na mambo mengine mazuri kama hayo. Kuhusu kupendwa tunapenda upendo unaoonekana kwa vitendo, hususan...
34 Reactions
462 Replies
4K Views
Habari zenu, Miaka 3 iliyo pita nilifanikiwa kuitwa baba nikiwa na umri wa miaka 22 ambapo nilipata mabinti zangu mapacha kutoka kwa Binti wa kijerumani Greta Friedrich Mimi na Greta tulikutana...
1 Reactions
13 Replies
160 Views
Huyu shem wenu kanisurprise sikuwa na mpango wa kuzaa naye kwa sasa kichwa kinaniuma wadau naombeni ushauri wenu.
5 Reactions
91 Replies
872 Views
Nina miaka 26 na nimeoa mwanamke wa miaka 36 na ndoa yangu haina tatizo naenjoy kinoma.Ningeoa 18 to 25 ningeisoma namba.
2 Reactions
23 Replies
216 Views
Ni mtoto wa miaka mi 5 kutotaka shule na ukimpeleka shule analia, na kusema siwezi kujifunza kitu hicho hicho kila siku Nilileta uzi hapa Wadau wengi walinishauri na nikachukua ushauri wao...
7 Reactions
57 Replies
734 Views
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na...
64 Reactions
232 Replies
6K Views
Hivi unadhani utapendwa vile vile after 10years or 5 years? Hivi unadhani uzuri uliomchagulia utakuwepo after 15 years or 10 years. Hivi unadhani kuna atakaevumilia 6 years ya kupata sex sehemu...
4 Reactions
8 Replies
137 Views
Kama huyu mke wangu mama amina ananiheshimu sana maana mimi masta kitandani.huwa namshushia dozi vibaya mpaka anakiri kwel ww ni mwanaume sio bora mwanaume.
1 Reactions
25 Replies
493 Views
Wakuu, Habarini? Mimi ni mdau zaidi wa kusoma Nyuzi hapa JF kuliko kuandika Nyuzi. Lakini leo nimeona na mimi warau nivunje Ukimya, nipate kushuhudia jinsi Forum hii imenifungulia mlango...
68 Reactions
104 Replies
9K Views
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati. Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap. NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka...
82 Reactions
2K Replies
179K Views
Wana jf kuna mtu kaoa amekaa 4yrs bila mtoto, na rafiki yake ana watoto kadhaa. Sasa jamaa ashachoka kuitwa uncle na wale watoto wa rafiki yake anatamani na yeye aitwe baba cku moja. Jamaa...
15 Reactions
201 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…