Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

1. Kumvua nguo 2. Kumpaka mafuta, 3. kupiga stori,utani nk 4. Kumuandaa kwa kwa ajiri ya sex 5. Usisahau kumnyonya matiti,kumnyonya k, nk kisha sex nae
2 Reactions
10 Replies
230 Views
Kijana unaona umepata mafanikio kidogo channel zimeanza kufunguka unakimbilia kuoa unajichimbia kaburi mwenyewe Stop this madness. Hilo kosa utalijutia maisha yako yote.
12 Reactions
44 Replies
756 Views
Kama ulifanya mapenzi bila ya ridhaa yako /kulazimishwa, maana yake ulibakwa, hili linawakuta wanaume wengi sana ila wao wanaona kama ni zali la mentali. Mimi kuna dada alinibaka na hadi leo...
6 Reactions
29 Replies
868 Views
Hii kitu ni balaa sana, Uwe unadate na mwanamke anayehitaji kuolewa kwa muda huo, yule anayeona kama umri unamtupa mkono huwezi enjoy hayo maahusiano ni kero mwanzo mwisho, Maswali kama, "hivi...
83 Reactions
318 Replies
24K Views
Dada akipita unamwangalia,akiinama unamchungulia hasa kama kavaa kimin,unamkagua mpaka kavaa chupi rangi gan,kama hajavaa sidiria unachungulia machuchu Hii...
5 Reactions
11 Replies
332 Views
Kumekuwa na kasumba fulani hivi kwa wanaume wengi wakiwa wanatoa vigezo vyao vya aina ya mwanamke wanahitaji kuwa mke, lakini my frendi mwanaume ukitaka kupata mke bora lazima ujitazame wewe je ni...
10 Reactions
38 Replies
626 Views
Urembo wako usiwe guarantee ya kudate na wanaume kibao Ili wakuweke mjini. Acha kushinda saloon binti acha kushinda mtandaoni kutingisha makalio, kurembuarembua Ili upate likes. Kama mrembo...
8 Reactions
70 Replies
1K Views
Wakuu habari, Kuna jambo nimeliwaza, kama binadamu tuna mema na madhaifu, kila mmoja wetu ana uwezo katika jambo fulani na ni dhaifu upande mwingine na hii ndiyo sababu ya kuumbwa kwa...
4 Reactions
10 Replies
253 Views
Kama una tatizo la kiuchumi kwa muda mrefu jaribu kupata mtoto... Mtoto anakuja na sahani yake mambo Yako yanaweza kufunguka. ....... Wa kwanza asipoleta pandikiza mwingine ..jaribu kuleta...
37 Reactions
189 Replies
5K Views
Hi everyone. Natumaini your Monday is Mondaying[emoji4][emoji4]. Cool...Nina swali hapa naombeni mnijibu na tujadili kwa pamoja. Wanaume Huwa mnamaanisha nini mkiwaambia wapenzi/ wake zenu "una...
13 Reactions
145 Replies
10K Views
Niko zangu nimetandika mifuko,vyandarua,makoti yangu na shuka moja nimelala na mke wangu leo hii. Je wewe umelala na nani na wapi hii leo? Yupo mwingine ana safari amelala gesti, mwingine analala...
9 Reactions
71 Replies
897 Views
Je, utafanya nini ikiwa una mahusiano na mwanamke na unampenda sana ila kila mkikosana wewe na yeye, unapokea vitisho na meseji za ajabu kwa wazazi wa mtoto ili hali wewe hujawahi kujitambulisha...
10 Reactions
47 Replies
764 Views
Nadhani wote mko poa. Ambao siwazim,soon afya zenu zitatengamaa (amini hivyo). Straight to the point. Kuna jamaa mmoja ni jirani yetu huko kijijini. Elimu aliishia msingi.Hali ya sasa...
37 Reactions
245 Replies
24K Views
Pale ukipata kazi nazungumzia (ajira) ni lazima utapewa mkataba wa ajira hiyo hiwe ni permanent ama ya muda flani muhimu utapewa Mkataba ukikuelekeza taratibu na sheria zote za ajira hiyo. Kati...
5 Reactions
33 Replies
458 Views
Nina mpenzi wangu ambaye tumedumu kwenye uhusiano kwa takribani miaka mitatu sasa. Kila siku nimekuwa nikiamini kwamba uhusiano wetu unaenda vizuri, kwani tumepitia mambo mengi pamoja na bado tupo...
14 Reactions
72 Replies
1K Views
Nina mwenzi wangu tangu tuoane ni mwaka wa tatu sasa. Amebarikiwa sana kwa kipato, na amekuwa msaada mkubwa sana kwangu mm mwenyewe na wazazi yangu. Mpaka sasa tuna mtoto mmoja ambaye yeye...
19 Reactions
321 Replies
34K Views
Yaani kisa ni mwanaume daktari ndio umchome sindano ya tako mke wangu?
8 Reactions
27 Replies
420 Views
Mwanamke akilimwaga lile kojo wakati wa tendo kwanza anakuwaga zaifu zaifu ataona we ndo kila kitu kwake mana ni wachache wana ujuzi wa kumtolesha mkojo. Asa we kama ulimpa ela idai ela yako...
5 Reactions
45 Replies
1K Views
Salaam zenu bandugu.. Naandika uzi huu ili angalau nipunguze msongo wa mawazo maana naweza kupasuka kichwa... Mimi ni mdada nina kazi yangu nzuri tu Alhamdulihah na niko na watoto wawili...
86 Reactions
900 Replies
62K Views
Kwa muonekano wa nje ni msichana mzuri sana mwenye kila sifa ya urembo, msafi anajua kuongea mpaka unamtamani awe zaidi ya rafiki mpenzi na kadhalika blah blah. Nimeamua niseme manake nimekaa...
28 Reactions
934 Replies
180K Views
Back
Top Bottom