Black jackal360
Member
- Sep 1, 2018
- 30
- 42
Habari zenu wakuu , mimi ni kijana wa miaka 19 ambae nimekutana na matatizo katika maisha yangu ya mapenzi hadi sasa nimeshaacha wanawake 11 na kuachwa mara 2 je nitakuwa na shidabgani maana kama mapenzi nayajua haswa ila chaajabu niambulia kuachwa tu kila siku
Karibuni wakuu
Karibuni wakuu