Davey 2017
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 109
- 133
Mimi ni mwanaume ( mbaba) mwenye 39 na nina watoto 2 wa kiume, nimeajiriwa. Ni mpenda maendeleo mchapakazi sana, napenda ibada kiasi, siyo chapombe ingawa natumia pia kiasi. Natafuta mwanamke aliyetayari kuwa mke anayejitambua mpenda ibada, kuanzia miaka 30 hivi. Niko Dar es Salaam. Kama sijaeleweka vyema basi ntakupm kwa maelezo unayotaka.
Asanteni. Nicheki PM kwaajili ya namba na mawasiliano. SIku njema
Asanteni. Nicheki PM kwaajili ya namba na mawasiliano. SIku njema