project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,166
- 1,532
Habari wana jf natumaini wote ni wazima kama mada inavyojieleza hapo juu natafuta mshichana ambaye yupo tayari huanzisha mahusiano na hatimaye ndoa aliye serious kwa ajili ya kuanzisha mahusiano sifa kuuu
1 .Awe mcha mungu
2 Awe msabato au ambaye yupo tayari kubadili dini kuwa msabato
3. Elimu kuanzia darasa la saba kupanda juu
4. Umri awe na zaidi ya 18 na asizidi 30 shughuli zangu mi ni mfanya biashara aliye serious tafadhali ni pm.
Sent using Jamii Forums mobile app
1 .Awe mcha mungu
2 Awe msabato au ambaye yupo tayari kubadili dini kuwa msabato
3. Elimu kuanzia darasa la saba kupanda juu
4. Umri awe na zaidi ya 18 na asizidi 30 shughuli zangu mi ni mfanya biashara aliye serious tafadhali ni pm.
Sent using Jamii Forums mobile app