Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habri wanajf mm nikijana wa miaka 25 natafuta marafiki wakike waliotayari katika kushauriana kuwasiliana na kusaidiana awe na umri kuanzia 19 hadi 23
0 Reactions
121 Replies
10K Views
Habari ndugu zangu, Niende kwenye point moja kwa moja. Mimi nimekuwa nikiifatilia JF kwa muda mrefu zaidi ya miaka miwili sasa. Mimegundua kuwa hapa ni sehemu sahihi na unaweza kupata au kutatua...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za siku nyingi waungwana.. Ewe Bachelor mwenzangu unayehangaika kutafuta mke sehemu mbalimbali hadi huku mitandaoni bila mafanikio hii ni habari njema sana kwako......Fuatilia. Sio jambo...
4 Reactions
60 Replies
5K Views
bonjour wana jf ! umri wangu ni miaka 32 ni mfanyabiashara naishi singida, Elimu yangu ni chuo. nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo ili awe mke wangu ! awe mcha mungu dini yoyote,awe na umri...
0 Reactions
4 Replies
896 Views
Kwa hakika upweke ni mbaya sana unaweza jikuta unajinyonga ndani Peke yako, ninatafuta mwanamke umri kuanzia 20 mpka 28 , awe anajielewa na anapenda kujishughulisha, ila awe tayari kuhamia...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Sina kazi,sina pesa, sina msichana wala mke ila nina hofu na Mungu na nataman sana kupata mwenza kikwanzo kazi sina. Elimu form 6 naishi kucheza mpira ndondo wanaita, na kuwa kibarua wa fundi wa...
4 Reactions
57 Replies
5K Views
Habari Nina 30 miaka natafuta mwanamke kuanzia miaka 40 kuendelea awe dini yoyote kabila lolote. Awe anajishukhulisha na chochote hata akiwa na watoto sio mbaya awe tayari kuchek afya pia asiwe...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu natumai ni wazima kuna tabia kwakweli humu sijapendezwa nayo unakuta MTU anapost anahitaji mwenz wanakuja watu na kuanza kumdhihaki kumsema na kejeli kiukweli huo ni ushamba.kama hauko...
2 Reactions
2 Replies
584 Views
Nahitaji rafiki wa kike, Dini,kabila,rangi na location popote/yoyote Mwenye kupenda kushirikiana, Nipo mpweke mno. Natanguliza shukran, Karibu DM
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Sijali elimu wala kazi yake. Ila ningependa awe mrembo na kikubwa awe mwenye hekima ya kuishi na mume. Endapo atapenda tutafunga ndoa japo sio lazima pia kama hahitaji Mimi umri miaka 30 Ni...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Natafuta mwanamke mtu mzima anayejielewa na ambaye anahitaji kuwa na mwanaume wa kutulia nae kimahusiano. Nahitaji wazee wenzangu umri kuanzia miaka 30 au zaidi na mwisho ni miaka 45. Ukiwa na...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari JF Nimeona vyema kuongea hapa kwa walio single basi tuelewane Nina imani mke mwema anapatikana kokote tu. Haijalishi mtandaoni au mtaani, ile kasumba ya wanawake wa mtandaoni ni...
3 Reactions
160 Replies
11K Views
Utangulizi: December 2018 Nilienda musoma kumtembelea rafiki yangu wambura. ilipofika siku ya sabato wambura aliniambia tukasali sabato kwa sababu kwao wambura wote ni wasabato nami sikuwa na...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa. Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40. Najitegemea nina kwangu na...
40 Reactions
200 Replies
30K Views
Nahtaj mke alie serios kuolewa. Sibagui din. Umr wangu 27 nimejiajiri. Mke naemuhtaj awe mweupe kidogo mrefu kidogo asiwe mnene sana. Ikibid awe na kaz pia. Mawasilino yangu 0766507273 njoo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanajamvi wenzangu!! Naomba twende moja kwa moja kwenye maada lengwa ili nisiwachoshe Mm ni jinsia ME, umri wangu miaka 29, mrefu kiasi mwembamba, mweusi kawaida. Elimu yanngu ni Shahada...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini wakuu,,,, bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye maada kuu.Nipo hapa kutafuta mchumba wa kike ambaye basi kwa namna moja au nyingine mambo yakienda vizuri awe mke wangu.Mimi ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mungu alivyomtengeneza Adam akaona ni jambo jema kuwa na mwenza ambaye ni Hawa. Muda wa kukaa upweke naona ufike tamati. Natafuta mke mwema mwenye maadili ya kumpendezesha mungu. Mimi ni mwislam...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Heri ya mwakampya wanaJF kama kawaida, mwaka mpya na mambo mapya nahitaji mwanamke aliyejitunza vema na bikra yake nije niibikiri na kumuoa kabisa umri ni kuanzia miaka 23 mpaka 26 Dini yoyote...
3 Reactions
49 Replies
5K Views
Habari wana jf natumaini wote ni wazima kama mada inavyojieleza hapo juu natafuta mshichana ambaye yupo tayari huanzisha mahusiano na hatimaye ndoa aliye serious kwa ajili ya kuanzisha mahusiano...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom