Wew jamaa lazima utakua ni kijana ambaye amebarehe juzi juzi maana unadharau kubwa kwenye comment nying unazochangia wew ni mtu wa mabishano na kiburi acha utoto nduguKwanini unaamini katika marafiki wa kike?
Kamasi wewe, Hilo swali langu lina kosa gani? Fuatilia pua zako zako kwanza hujatosha kufuata nyendo zangu.Wew jamaa lazima utakua ni kijana ambaye amebarehe juzi juzi maana unadharau kubwa kwenye comment nying unazochangia wew ni mtu wa mabishano na kiburi acha utoto ndugu
Wew ni chizi na akili hauna ndio maana unataka ku prove kwamba uko timamu , kama kawaida ya mtu asiyekua na akili hutumia hasira na nguvu kutoa point sababu ana miss , department ya kichwa wewe sio bure dish litakua limeyumbaKamasi wewe, Hilo swali langu lina kosa gani? Fuatilia pua zako zako kwanza hujatosha kufuata nyendo zangu.
Mbu wa kienyeji.
Unakaa kufuatilia nyendo zangu humu kwanini usiangalie ukuaji wa MAKALIO YAKO.Wew ni chizi na akili hauna ndio maana unataka ku prove kwamba uko timamu , kama kawaida ya mtu adiyekua na akili hutumia hasira na nguvu kutoa point sababu ana miss , department ya kichwa wewe sio bure dish litakua limeyumba
Ok kila la kheri utawapata tu.Cz tuko tofauti
Nimekuta comments zako nying ukitukana watu , na kila wakati wew uko kinyume na wenzio hutoi hoja unatafuta ku provoke mtu , ndio maana nasema wewe ni mtoto hujakua bado ,Unakaa kufuatilia nyendo zangu humu kwanini usiangalie ukuaji wa MAKALIO YAKO.
Unapoteza tu muda wako kunichunguza ungekuwa busy kuhangaika na Fangasi za ubongo wako ungekuwa umepona.Nimekuta comments zako nying ukitukana watu , na kila wakati wew uko kinyume na wenzio hutoi hoja unatafuta ku provoke mtu , ndio maana nasema wewe ni mtoto hujakua bado ,
Wew ni fangasi na hii ni tiba tosha ukue binti!! ,Unapoteza tu muda wako kunichunguza ungekuwa busy kuhangaika na Fangasi za ubongo wako ungekuwa umepona.
Naheshimu sana post yako Kaka ila kuna Digidigi lilitakiwa kuongozwa njia.Mnabishana kwenye post yangu plz s vizur
Heshima utoe wapi wew hakuna hata sehemu moja nilipoona unatoa mchango constructive hupenda kuzusha marumbano huuliza swali la kinafki iliuanze kutukana watu , yaan unatafuta angle tu .Naheshimu sana post yako Kaka ila kuna Digidigi lilitakiwa kuongozwa njia.
Niwie radhi.
Wewe na Mods nani mwenye akili, hii JF ina sheria zake kama unaona bado nipo huku sipewi Ban basi jua sijavunja sheria.Heshima utoe wapi wew hakuna hata sehemu moja nilipoona unatoa mchango constructive hupenda kuzusha marumbano huuliza swali la kinafki iliuanze kutukana watu , yaan unatafuta angle tu .