The real Boy
Member
- Jan 23, 2020
- 19
- 9
Habari ndugu zangu,
Niende kwenye point moja kwa moja. Mimi nimekuwa nikiifatilia JF kwa muda mrefu zaidi ya miaka miwili sasa.
Mimegundua kuwa hapa ni sehemu sahihi na unaweza kupata au kutatua matatizo yako kiusahihi kama utakuwa makini.
Nimeona niwe wazi kabisa hapa, nina umri wa miaka 33 sasa, nimekuwa single kwa muda sana sasa, na nimehisi hapa naweza pata mtu serious na sahihi pia.
Kwa mdada aliye serious na kwa namna moja au nyingne hayupo katika mahusiano naomba tukutane PM tufahamiane na tukuienda tuwe pamoja kwa mahusiano ya kimapenzi Mungu akijaalia tuanzishe familia
NB: Sina machaguzi saana zaidi ya mtu kujitambua na kujielewa.
Karibu PM tuanzishe urafiki tafadhali wadada.
Niende kwenye point moja kwa moja. Mimi nimekuwa nikiifatilia JF kwa muda mrefu zaidi ya miaka miwili sasa.
Mimegundua kuwa hapa ni sehemu sahihi na unaweza kupata au kutatua matatizo yako kiusahihi kama utakuwa makini.
Nimeona niwe wazi kabisa hapa, nina umri wa miaka 33 sasa, nimekuwa single kwa muda sana sasa, na nimehisi hapa naweza pata mtu serious na sahihi pia.
Kwa mdada aliye serious na kwa namna moja au nyingne hayupo katika mahusiano naomba tukutane PM tufahamiane na tukuienda tuwe pamoja kwa mahusiano ya kimapenzi Mungu akijaalia tuanzishe familia
NB: Sina machaguzi saana zaidi ya mtu kujitambua na kujielewa.
Karibu PM tuanzishe urafiki tafadhali wadada.