Cheusi_blacky
New Member
- Feb 15, 2020
- 3
- 10
Hello wanajukwaa,
Mimi ni mwanamke wa miaka 31
Nina mtoto mmoja
Ni mkristo
Nimeajiriwa
Najitokeza kuweka tangazo la kuhitaji mume aliye na utayari.
Awe mkristo
Awe na miaka 33 -40
Awe na kazi halali ya kuingiza kipato
Awe na elimu kiasi
Awe na Nia ya kujenga familia
Kwa aliye na Nia karibu PM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mwanamke wa miaka 31
Nina mtoto mmoja
Ni mkristo
Nimeajiriwa
Najitokeza kuweka tangazo la kuhitaji mume aliye na utayari.
Awe mkristo
Awe na miaka 33 -40
Awe na kazi halali ya kuingiza kipato
Awe na elimu kiasi
Awe na Nia ya kujenga familia
Kwa aliye na Nia karibu PM.
Sent using Jamii Forums mobile app