Nahitaji matured Man tuanze safari ya ndoa

Ndio walivyo wanawake wakiwa under 31 wanajionaga dunia yote ya kwao, wanaringa hatarii yaani full kunata, ukiwafata kwa lengo la kuwaoa wanakuona kama boya flani hivi.
Sasa subiri wavuke huo umri wawe above 30 yoyote tuu yule atakae kutana nae akimwambia ana lengo la kumuoa ye sawa tuu mwisho wa siku wanakuchakaza wee wanakuachia na mtoto,
Unaanza kijilaumu una mikosi kumbe ujinga wako tuu mwenyewe
 
Hello wanajukwaa,
Mimi ni mwanamke wa miaka 31
Nina mtoto mmoja
Ni mkristo
Nimeajiriwa

Najitokeza kuweka tangazo la kuhitaji mume aliye na utayari.

Awe mkristo
Awe na miaka 33 -40
Awe na kazi halali ya kuingiza kipato
Awe na elimu kiasi
Awe na Nia ya kujenga familia

Kwa aliye na Nia karibu PM.



Sent using Jamii Forums mobile app
Joined 15/02/2020 tayari ushaanza kutafuta mume?? subiri kwanza wala tunda kimasihara ni wengi humu
 
Usikute wewe ndio uliye mpa mimba dada wa watu akiwa kigori 23, ukakimbia..
Ndio walivyo wanawake wakiwa under 31 wanajionaga dunia yote ya kwao, wanaringa hatarii yaani full kunata, ukiwafata kwa lengo la kuwaoa wanakuona kama boya flani hivi.
Sasa subiri wavuke huo umri wawe above 30 yoyote tuu yule atakae kutana nae akimwambia ana lengo la kumuoa ye sawa tuu mwisho wa siku wanakuchakaza wee wanakuachia na mtoto,
Unaanza kijilaumu una mikosi kumbe ujinga wako tuu mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio walivyo wanawake wakiwa under 31 wanajionaga dunia yote ya kwao, wanaringa hatarii yaani full kunata, ukiwafata kwa lengo la kuwaoa wanakuona kama boya flani hivi.
Sasa subiri wavuke huo umri wawe above 30 yoyote tuu yule atakae kutana nae akimwambia ana lengo la kumuoa ye sawa tuu mwisho wa siku wanakuchakaza wee wanakuachia na mtoto,
Unaanza kijilaumu una mikosi kumbe ujinga wako tuu mwenyewe
Hongera kwa kukomenti, umepata like tano....hongera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha acha kumnyanyapaa mgonjwa
Ndio walivyo wanawake wakiwa under 31 wanajionaga dunia yote ya kwao, wanaringa hatarii yaani full kunata, ukiwafata kwa lengo la kuwaoa wanakuona kama boya flani hivi.
Sasa subiri wavuke huo umri wawe above 30 yoyote tuu yule atakae kutana nae akimwambia ana lengo la kumuoa ye sawa tuu mwisho wa siku wanakuchakaza wee wanakuachia na mtoto,
Unaanza kijilaumu una mikosi kumbe ujinga wako tuu mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke kuringa muhimu. Sasa unataka wanaume ndio waringe
Ndio walivyo wanawake wakiwa under 31 wanajionaga dunia yote ya kwao, wanaringa hatarii yaani full kunata, ukiwafata kwa lengo la kuwaoa wanakuona kama boya flani hivi.
Sasa subiri wavuke huo umri wawe above 30 yoyote tuu yule atakae kutana nae akimwambia ana lengo la kumuoa ye sawa tuu mwisho wa siku wanakuchakaza wee wanakuachia na mtoto,
Unaanza kijilaumu una mikosi kumbe ujinga wako tuu mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom