😁😁😁😁 Nmaansha wawe friends positive not negative mkuu"wenye kuleta faida katika maisha"
Hapo unataka wawe wanakuingizia shilingi ngapi kwa siku!
🤨🤨 Shukran Sana bro ndo nmeket hapa sebulen😁😁 nsubir chai asee😂😂Karibu sana, hapo sebuleni kuna mlango wa kushoto gonga hapo, kisha kulia kuna mlango wa koldo nenda nalo mpaka utawakuta wana JF wanabalizi
Sent using Jamii Forums mobile app