Wana JF, nimetoa uzi huu maksudi ila walengwa na wahusika ndio wa comment au DM, Nahitaji mke mrefu au saizi ya kati ila achague anayeona anafaa kuwa mke mwenza na wanaweza wakaishi wote kwa upendo na furaha na watahudumiwa wote kama walivyo kwa vyovyote, sina uwezo mkubwa sana kivile kama matajiri wakubwa
Umri wa wake umri kuanzia 26 - 36
Dini yoyote
Kabila lolote
Wawe na mtoto 1 tu kila mtu au wasiwe nao au wawe ma tasa yote sawa
Mimi mhitaji
Umri miaka 36
Mrefu
Kazi mjasiriamali
Naishi Morogoro
Nina viwanja ndio najenga sasa hivi
Sina mtoto
Karibuni
Umri wa wake umri kuanzia 26 - 36
Dini yoyote
Kabila lolote
Wawe na mtoto 1 tu kila mtu au wasiwe nao au wawe ma tasa yote sawa
Mimi mhitaji
Umri miaka 36
Mrefu
Kazi mjasiriamali
Naishi Morogoro
Nina viwanja ndio najenga sasa hivi
Sina mtoto
Karibuni