Hakika mwambaUngekuwa mwanamke fasta tu
Naona mambo ya gender inequality yanashika hatamu 😂😂😂😂. Inawezekana am female id faken inazuzua mjue!
Ansante mkuu nimeshindwa kukufata pm unaweza kunichekiKaribu mkuu..tubadilishane mawazo
Wakike au kiumeKwa yeyote atakaaependa tuwe marafiki wa kuchat humu basi karibu pm au mimi nikaribie ya kwako. Nawapenda nyote peace and love y'all
Daah! Mimi ndie mchatishaji bora wa mwaka 2020 ila kabla hatujaanza kuchati ningependa kujua jinsia yako tafadhaliKwa yeyote atakaaependa tuwe marafiki wa kuchat humu basi karibu pm au mimi nikaribie ya kwako. Nawapenda nyote peace and love y'all
Nachati na wadada tuKufahamiana pm mzee...