Hao wawili waliotangulia wameridhia?Nina wake wawili ila bado nahitaji kuongeza wawili ili idadi ya sunnah itimie.
Kama upo tayari kuwa wa 3 karibu sana.
Nipo Dar Es Salaam.
Tatizo liko hapa..!!sijabahatika kuolewa kabla lakini Ni mama wa mtoto 1,, not a single mom though nikimaanisha mwanangu anaishi na kulelewa na baba yake 100%
Kama hiyo ndo tafsiri ya single mother.
Kaka bila shaka una ndambi. Tena sio kitambi, ndambi.Niko tayari,tatizo umri wako umekwenda mno. Ninapendelea mwenye miaka 21- 22
Hili sikuliona,ngoja nije tuyajenge aisee.ndoa ya mitala nipo tayari ila mwanamke mwenzangu awe ameiridhia.
Kumbe ulishapita...kayajenge sasa...Hili sikuliona,ngoja nije tuyajenge aisee.
Bahati hii.
Umemjibu vizuri sana , sasa umeeleweka njoo inboxsawa najua mpo wengi wenye dhana Kama yako Wala sio dhambi kuwaza hivo najua pia wapo wenye uelewa tofauti na wako ndo niliowalenga,,, na mbona unanilisha maneno wapi nimesema Nina mawasiliano ya 100% na baba mtoto,,, lakini sio mbaya nitakuelezea japo sikupaswa kujielezea,, mtoto yupo SONGEA anaishi na Bibi na babu yake,,, baba yake makazi yake mbeya lakini huduma zote anahudumia Mimi nipo tabora nikitaka mawasiliano na mtoto lazima niwasiliane na Bibi yake na yeye hivohivo,,,, anyway ndo maana nikasema atakaependezwa na Mimi sababu nafahamu Kuna wasiopendezwa.