Natafuta mchumba (wa kiume)

Natafuta mchumba (wa kiume)

Status
Not open for further replies.

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,170
Reaction score
18,343
Nina elimu ya chuo kikuu, natafuta mchumba atakayekuja badae kuwa mume..,

SIFA:
Napenda mwanaume atakayenipa furaha, faraja na upendo wa kweli; ni pm uone picha zangu.

Ila kwa kifupi mimi ni mrefu, model like, maji ya kunde na kabila langu masai.

Nina miaka 23 kwahiyo mtu mwenye 26 kwenda juu atakuwa best.

KARIBU

=====================================
Updates
=====================================

https://www.jamiiforums.com/love-connect/642473-nimepata-mpenzi.html#post9277624
 
nina elimu ya chuo kikuu,natafuta mchumba atakaekuja badae kuwa mume..,SIFA napenda mwanaume atakaenipa furaha,faraja na upendo wa kweli,,ni pm uone picha zangu.Ila kwa kifupi mimi ni mrefu,model like,maji ya kunde,,na kabila langu masai..KARIBU
9055.gif
 
Ngoja nije huko huko unaweza kukuta bahati yangu hii
 
je umri sawa na wako au chini ya 26
 
masai iz a katai and katai iz a masai hapo chacha
 
Nina elimu ya chuo kikuu, natafuta mchumba atakayekuja badae kuwa mume..,

SIFA:
Napenda mwanaume atakayenipa furaha, faraja na upendo wa kweli; ni pm uone picha zangu.

Ila kwa kifupi mimi ni mrefu, model like, maji ya kunde na kabila langu masai.

Nina miaka 23 kwahiyo mtu mwenye 26 kwenda juu atakuwa best.

KARIBU
Dada habari? vp je kazi?
 
nimekupm nikiwa serious na nafikir kila kigezo ninacho so kama upo tayar tufanye mawasiliano kupitia kasianojonas@gmail.com
umr 26,172cm urefu,mwembamba wa wastan na mweus wa wastan pia ambaye ni mungwana na ninaejua utu wa mtu kama upo tayar bas tufanye mazungumzo kupitia email
 
Nina elimu ya chuo kikuu, natafuta mchumba atakayekuja badae kuwa mume..,

SIFA:
Napenda mwanaume atakayenipa furaha, faraja na upendo wa kweli; ni pm uone picha zangu.

Ila kwa kifupi mimi ni mrefu, model like, maji ya kunde na kabila langu masai.

Nina miaka 23 kwahiyo mtu mwenye 26 kwenda juu atakuwa best.

KARIBU

Namasteeeee
 
Nina elimu ya chuo kikuu, natafuta mchumba atakayekuja badae kuwa mume..,

SIFA:
Napenda mwanaume atakayenipa furaha, faraja na upendo wa kweli; ni pm uone picha zangu.

Ila kwa kifupi mimi ni mrefu, model like, maji ya kunde na kabila langu masai.

Nina miaka 23 kwahiyo mtu mwenye 26 kwenda juu atakuwa best.

KARIBU

Shikamooo
 
Hivi unafikiri kwa mtindo huu,utapata mume bora? Au kwa vile unahamu ya kugegedwa daily? Haya kila la-heri dada.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom