Natafuta mwanamke

Natafuta mwanamke

Kontelo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
571
Reaction score
161
Kwa jina naitwa Kontelo,

Nina miaka 27.

Nimemaliza form 6 mwaka jana kwa bahati mbaya matokeo hayakuwa mazuri sikuweza kuendelea na chuo,

bado nipo mtaani najishuulisha na kazi ndogo ndogo kama za ujenzi na kuuza maji.

Ninatafuta mwanamke alie tayari kuwa na mume niPM maana nimechoka kuishi pekeangu na kwa shuuli nnazofanya nina uwezo wa kumuhudumia.

Natanguliza shukrani..
 
Tudanganye danganye bana, hata ndo upo unaezeka mjengo wako
umekuwa mkweli sana bana hapa humng'oi mtu....
 
heee eti unauza maji hizi guruguja unaziambia hivo?? waambie bakhressa mjomba ako uone ka PM zako hazijajaa in five minutes!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom