Natafuta mume nimechoka maumivu

Natafuta mume nimechoka maumivu

yote kheri

New Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
4
Reaction score
0
Mimi ni msichana wa miaka 27 nina mtoto natafuta mume nimechoka kuumizwa
 
Mrembo unasema kweli au unataka kuturusha roho wadau??
 
Kwajinsi ulivyoandika, wewe hujachoka kuumizwa, yani hapo utaumia mpaka utajuta kuifahamu jf,

Yani hapo ni sawa na umefumba macho kisha unaokota tu nyanya bila kujua ni masalo, mbichi au zimeiva,
 
Kwajinsi ulivyoandika, wewe hujachoka kuumizwa, yani hapo utaumia mpaka utajuta kuifahamu jf,

Yani hapo ni sawa na umefumba macho kisha unaokota tu nyanya bila kujua ni masalo, mbichi au zimeiva,
I hope huu ushauri wako atautumia
 
Uwe makini sana humu pia na uwapime watu,ukianza kichwa kichwa watakuongezea stress
 
Miaka ishirini ni umeshapevuka vyakutosha na kipimo ni huyo mtoto! Kwa short notes yako hii hutafuti mume unatafuta kuwa toi la kujitolea mihemko....nenda uwanja wa fisi mabwana watapatikana!
 
Ni maumivu gani ambayo ume refer hapa kwenye mada yako?

Je, wataka mume wa kukugegeda tu au kuolewa?

Kwa namna ulivyo andika hapa, ni wazi wewe utakuwa umeshafubaa vya kutosha.

Sijawahi kuona mwanamke ambae tayari amezalishwa na analilia kupata bwana halafu awe mtamu.

Wewe malizia uzee wako kwa kumlea huyo mwanao, nje ya hapo unajitafutia UKIMWI tu.
 
Kipindi hichi cha mvua kama hujapata hata missed call ni maumivu sana. ishinde tamaa kwa vyovyote vile
 
Miaka ishirini ni umeshapevuka vyakutosha na kipimo ni huyo mtoto! Kwa short notes yako hii hutafuti mume unatafuta kuwa toi la kujitolea mihemko....nenda uwanja wa fisi mabwana watapatikana!

mh...! nafikiri maumivu yanamzidi!
 
Mie nina watoto wawili tukichanganya na wako wawa watatu upo tayari kulea watt wa mwanamke mwenzio?????
 
Ni maumivu gani ambayo ume refer hapa kwenye mada yako?

Je, wataka mume wa kukugegeda tu au kuolewa?

Kwa namna ulivyo andika hapa, ni wazi wewe utakuwa umeshafubaa vya kutosha.

Sijawahi kuona mwanamke ambae tayari amezalishwa na analilia kupata bwana halafu awe mtamu.

Wewe malizia uzee wako kwa kumlea huyo mwanao, nje ya hapo unajitafutia UKIMWI tu.

Mkuu unamaanisha waliozalishwa sio watamu?
 
dah short and clear no michepuko chepuko! hutaki lala mbele! unataka njoo unioe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom