MAKRESH MMAKA
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 155
- 19
Natafuta msichana anaehitaja mume wa kumuoa uzuri kwangu si kitu tabia ndio nikipendacho
mhh .funguka mkuu .
yaani demu wowote ila awe na tabia za mwanamke wa kiafrika
lol mbona swali lako la kimtego hivo 😕Unauhakika uzuri kwako si kitu? Unauhakika?
lol mbona swali lako la kimtego hivo 😕
Eti ehhh…. haya wabaya walie tu mwe!!Sijui kama akisema haangalii uzuri anasema kwa dhati. Uzuri ndo kitu cha kwanza kuangalia, huo ni ukweli
Unauhakika uzuri kwako si kitu? Unauhakika?
Mhhh mbna wanaume mnakua cio wa kwel?je ni kwel uzur c kigezo
binafsi sijawai ona mwanamke mbaya, au binaadam mbaya
Endelea hvyohivyo ,tunafarijika
dada unaongea kauli za kukata tamaa sana, ni mbaya sana kwenye mstakabali wa maisha yako tafadhali jiamini kwani cc wanaume tumetofautiana sana kwenye vitu tunavyovipenda toka kwa wanawake, hata nyie vivyo hivyo