Mimi wasifu wangu ni kama ifuatavyo
-umri wangu miaka 34
-ni mwembamba, mweusi na mrefu wastani
-elimu yangu ni shahada ya kwanza
-nimejiajiri mwenyewe.
- mkristo naishi Dar
Natafuta mdada mwenye sifa zifuatazo ili awe mwenza wangu wa maisha.
- umri usizidi miaka 28
-awe mweupe/maji ya kunde, mrefu wastani na asiwe mnene
-elimu yake iwe angalau kidato cha sita.
-mkristo wa dhehebu lolote.
-awe anaishi Dar, Moro, Dom, Iringa, Mbeya, au Pwani
Mengine mengi tutaongea na kujulishana kwa yeyote atakayeonyesha nia ya dhati kwa pm.
Karibu sana ewe mwenza mtarajiwa.
-Aliye serious anitumie Pm
-umri wangu miaka 34
-ni mwembamba, mweusi na mrefu wastani
-elimu yangu ni shahada ya kwanza
-nimejiajiri mwenyewe.
- mkristo naishi Dar
Natafuta mdada mwenye sifa zifuatazo ili awe mwenza wangu wa maisha.
- umri usizidi miaka 28
-awe mweupe/maji ya kunde, mrefu wastani na asiwe mnene
-elimu yake iwe angalau kidato cha sita.
-mkristo wa dhehebu lolote.
-awe anaishi Dar, Moro, Dom, Iringa, Mbeya, au Pwani
Mengine mengi tutaongea na kujulishana kwa yeyote atakayeonyesha nia ya dhati kwa pm.
Karibu sana ewe mwenza mtarajiwa.
-Aliye serious anitumie Pm