Mwalimu-Mkuu
Member
- Feb 22, 2013
- 75
- 205
Nina umri wa miaka 29,nina elimu ya Shahada,mkristo.Natafuta mchumba awe na umri wa miaka kati ya 20-27,mwenye upendo wa dhati,mcha Mungu(Mkristo) mengine tutayajadili baadaye.
Kama unavigezo na uko tayari tafadhali ni PM.
Asanteni
Kama unavigezo na uko tayari tafadhali ni PM.
Asanteni