KAOROGOMA
JF-Expert Member
- Jun 26, 2015
- 529
- 904
MI ni kijana mkazi wa Dar, niko bachelor, nina elimu ya Chuo Kikuu nilimaliza 2013, nina twenty six years nilipomaliza nikaajiliwa na Serikali hazina mpaka sasa.
Ninatamani kumpata mrembo hapa, sifa awe mnene wastani hapa wembamba na wafupi sana hawana nafasi, awe mrembo i mean cute, awe mwenye uelewa juu ya maisha yetu Tanzania,awe mwenye hips za kutosha na umbo zuri.
Aliyetiyari ani inbox kama anaogopa kuweka wazi nina nia nzuri naye yakufikia pazuri
Ninatamani kumpata mrembo hapa, sifa awe mnene wastani hapa wembamba na wafupi sana hawana nafasi, awe mrembo i mean cute, awe mwenye uelewa juu ya maisha yetu Tanzania,awe mwenye hips za kutosha na umbo zuri.
Aliyetiyari ani inbox kama anaogopa kuweka wazi nina nia nzuri naye yakufikia pazuri