Mke mwena anatafutwa

Mke mwena anatafutwa

napenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
485
Reaction score
91
Nahitaji mke mwema,awe na umbo kubwa kidogo(mnene wastani) miaka 20-25, elim chuo au f4, mimi nina 30yrs mnene,urefu wastan, kipato changu kwa mwez ni 150 000/tu. bia huwa nakunywa maramojamoja sana, aliye tayari njoo PM
 
''bia huwa nakunywa maramojamoja sana''. hahahahaa kila lakheri kaka
 
nahitaji mke mwema,awe na umbo kubwa kidogo(mnene wastani) miaka 20-25, elim chuo au f4, mimi nina 30yrs mnene,urefu wastan, kipato changu kwa mwez ni 150 000/tu. Bia huwa nakunywa maramojamoja sana, aliye tayari njoo pm
imeandikwa mke mwema hutoka kwa bwana ....sasa wewe huku unatafuta nini?
Ila kwa umri wako weka bidii kwenye kutafuta maendeleo,watakuja wenyewe.
Kama kuosha rungu nenda buguruni buku 2 kwa bao.
 
Mshahara wenyewe c unauona akinywa kila siku itakuaje hahahahah

kabsaaa mkuu, huo mshahara wa manati akinywa ulabu kila siku uyo mke atamlisha nyasi. Ila nimependa kitu kimoja kwamba amekuwa muwazi kuhusu kipato chake per month, apo inabidi apate mke ambae yuko vizuri kwenye budgeting. Ila na wadada wa siku hizi wanataka mume mwenye income iloshiba.
 
Kuwa makin kuna akina chuma ulete humu jamaa yangu kalizwa ila karibu anamuweka live mwizi wake
 
imeandikwa mke mwema hutoka kwa bwana ....sasa wewe huku unatafuta nini?
Ila kwa umri wako weka bidii kwenye kutafuta maendeleo,watakuja wenyewe.
Kama kuosha rungu nenda buguruni buku 2 kwa bao.

Unamshauri asubiri zaid ya hapo? unataka aoe akiwa na 40yrs? acha kumdanganya kwanza naona kashapitiliza umri wake watu wanawatoto wako shule sasa
 
Nahitaji mke mwema,awe na umbo kubwa kidogo(mnene wastani) miaka 20-25, elim chuo au f4, mimi nina 30yrs mnene,urefu wastan, kipato changu kwa mwez ni 150 000/tu. bia huwa nakunywa maramojamoja sana, aliye tayari njoo PM

Huyu jamaa nimependa uwazi wake bigup, halafu nimjanja sana hapa katega aone nani atakubali kuolewa kwa salio dogo hilo, lakini atakua na kipato zaidi mi ndo ninavyo fikiri, movi kama ya Amanda (BEST WIFE)
 
Last edited by a moderator:
imeandikwa mke mwema hutoka kwa bwana ....sasa wewe huku unatafuta nini?
Ila kwa umri wako weka bidii kwenye kutafuta maendeleo,watakuja wenyewe.
Kama kuosha rungu nenda buguruni buku 2 kwa bao.

Kwenye red nakuunga mkono, huko kwingine unamuangamiza mchana kweupe!
 
unatafuta mke mwema au unatafuta mke jamii forum maana hao ni wake wawili tofauti ukizingatia na kwanza kipato achania umri na bia za mara moja. ieeesseee namba uliyopiga umekosea
 
Jaman sijapata bado, hakuna aliye tayari? au kipato changu kidogo? maana hata pm moja sijapata au wote washamilikiwa?
 
Huyu jamaa nimependa uwazi wake bigup, halafu nimjanja sana hapa katega aone nani atakubali kuolewa kwa salio dogo hilo, lakini atakua na kipato zaidi mi ndo ninavyo fikiri, movi kama ya Amanda (BEST WIFE)

Inawezekana kabisa ikawa anamtega huyo mtarajiwa wake. Ila kama amemaanisha, basi ni vizuri pia. Huyo mtarajiwa atakuwa ameshajiandaa na hiyo budget
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa nimependa uwazi wake bigup, halafu nimjanja sana hapa katega aone nani atakubali kuolewa kwa salio dogo hilo, lakini atakua na kipato zaidi mi ndo ninavyo fikiri, movi kama ya Amanda (BEST WIFE)

Mimi sijatega mtu, huo ndo uhalisia wa kipato changu,
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom