Natafuta mke

Natafuta mke

mjerumaniwapahi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2014
Posts
378
Reaction score
270
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ndo ilivyo;

* Mimi ni kijana wa miaka kati ya 30 na 25 ; ni mwenyeji wa kanda ya kaskazini
* Pia ni mwajiriwa katika taasisi flani
* Nina diploma ya ualimu

Mchumba ninae mhitaji ni vizuri awe na miaka kati ya 20 mpaka 23

- Awe muislam na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea
- Kabila yoyote ile pia wa rangi yoyote

Kama utakua tayar ni PM kisha tupeane mawasiliano mengine kama namba za Simu

Tafadhali usiwe msumbufu kama huna la maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom