shahazady mustafa
Senior Member
- Oct 1, 2018
- 110
- 56
Habari wana familia wa jf
Leo naomba kuanza na hawa warembo wadangaji jamani mnatia huruma sana, siku moja nipo eneo langu la kazi mara paap akakatiza mtoto mqali nikajitosa kwake moja kwa moja, basi visalaam vya kichokozi, Mara namba ya simu tukabadilishana. Cha kushangaza hapo hapo kabla sjaanza kumpa hitaji langu akafungua kopo la pipi akajihudumia pipi "Big Bom" buree... Daah nikaona hapa safari ni ndefuu ila nikajipa moyo tu kiume.
Nikamuuliza "Vip mrembo ukipata time nistue basi tubadilishane madini, akasema poah,, Acha tuanze story baada ya kunicheck, kabla sjatema madini mtoto akadai nimuwekee vocha aongee na mum wakati yupo uswahilini na wazaz wake anakaa nao na bila shaka mama yke hana mawasliano(simu). Basi nikaona no heri nianze kuchomoa mapema kabla hajanitoa upepo, nikamwambia vocha nimeishiwa mrembo, akaongeza kuwa kwani wengine hawauzi jamani? Ninunulie basi unitumie my, nikamwambia muda umeenda wameshafunga.
Basi akanivaa mapovu acha niyaoge, Ooh "Sema umeninyima makusudi kaka, umeona ungenipa vocha unafilisika?' Hayo ni maisha tu kaka utakufa na hela zako utaziacha.
Daaaaaaaahh.., Uvumilivu ukanishinda nami nikamtolea makavu, Yani dada mimi kukuita mrembo basi umeviiiiimba mwenyewe, umekuja kuomba namba tu Big Bom imetembea , sjatulia tena saiv vocha eti uongee na mum, hiv kweli mum yko ana simu? Kuwa mkweli. Halafu unanitisha eti nitakufa hela naziacha, kwani umesikia mungu akisema kuwa anabagua wa kumpeleka kuwa ambae hana mia hampeleki ?, au ni warembo wangapi zaidi yako na wabaya zaidi yako mungu kawapeleka? Kuwa mkweli dada wala usimuingize mungu ktk haya hizo ni gear zako tu ila ukweli wewe ni mdangaji ila kwangu umegonga mwamba ila ambulia Big Bom tu inatosha naomba mpaka hapo kadange pengine"
Dada wa watu ikawa mwisho wa ukimya na kila mtu akaangalia ustaarabu wake mpaka sasa akiniangalia ananiogopa balaa, japo Big Bom ilitembea out of pay.
Mwisho nasema hivi kwenu warembo wadangajiiiiii, shikeni majembe mkalime mjifunze uungwana mkaolewe vinginevyo taabu mtaipata sana na kwa taarifa yenu siku hizi hatuogopi mapovu yennnu.
Kama imekukuta kama mimi hapo nikuone ulingoni hapa.
Leo naomba kuanza na hawa warembo wadangaji jamani mnatia huruma sana, siku moja nipo eneo langu la kazi mara paap akakatiza mtoto mqali nikajitosa kwake moja kwa moja, basi visalaam vya kichokozi, Mara namba ya simu tukabadilishana. Cha kushangaza hapo hapo kabla sjaanza kumpa hitaji langu akafungua kopo la pipi akajihudumia pipi "Big Bom" buree... Daah nikaona hapa safari ni ndefuu ila nikajipa moyo tu kiume.
Nikamuuliza "Vip mrembo ukipata time nistue basi tubadilishane madini, akasema poah,, Acha tuanze story baada ya kunicheck, kabla sjatema madini mtoto akadai nimuwekee vocha aongee na mum wakati yupo uswahilini na wazaz wake anakaa nao na bila shaka mama yke hana mawasliano(simu). Basi nikaona no heri nianze kuchomoa mapema kabla hajanitoa upepo, nikamwambia vocha nimeishiwa mrembo, akaongeza kuwa kwani wengine hawauzi jamani? Ninunulie basi unitumie my, nikamwambia muda umeenda wameshafunga.
Basi akanivaa mapovu acha niyaoge, Ooh "Sema umeninyima makusudi kaka, umeona ungenipa vocha unafilisika?' Hayo ni maisha tu kaka utakufa na hela zako utaziacha.
Daaaaaaaahh.., Uvumilivu ukanishinda nami nikamtolea makavu, Yani dada mimi kukuita mrembo basi umeviiiiimba mwenyewe, umekuja kuomba namba tu Big Bom imetembea , sjatulia tena saiv vocha eti uongee na mum, hiv kweli mum yko ana simu? Kuwa mkweli. Halafu unanitisha eti nitakufa hela naziacha, kwani umesikia mungu akisema kuwa anabagua wa kumpeleka kuwa ambae hana mia hampeleki ?, au ni warembo wangapi zaidi yako na wabaya zaidi yako mungu kawapeleka? Kuwa mkweli dada wala usimuingize mungu ktk haya hizo ni gear zako tu ila ukweli wewe ni mdangaji ila kwangu umegonga mwamba ila ambulia Big Bom tu inatosha naomba mpaka hapo kadange pengine"
Dada wa watu ikawa mwisho wa ukimya na kila mtu akaangalia ustaarabu wake mpaka sasa akiniangalia ananiogopa balaa, japo Big Bom ilitembea out of pay.
Mwisho nasema hivi kwenu warembo wadangajiiiiii, shikeni majembe mkalime mjifunze uungwana mkaolewe vinginevyo taabu mtaipata sana na kwa taarifa yenu siku hizi hatuogopi mapovu yennnu.
Kama imekukuta kama mimi hapo nikuone ulingoni hapa.