Mimi ni mwanaume rijali kabisa natafuta mwenza wa maisha alie tayari kuishi maisha ya ndoa na familia natokea kusini mbeya, umri wangu 28 years elim degree, kazi biashara....
Akitokea kusini...
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 ninaishi Dar, mweusi mrefu mwenye mwili kidogo natafuta mpenzi mwanamke mzuri anaye ishi Dar ambaye yuko serious anatafuta mpenzi kama mimi,mwenye kazi pia mwenye umri...
Mimi huchukulia mitandao kama pori ambalo lina kila aina ya wanyama, wakuliwa, wasio wa kuliwa na wanyama hatari.
Ubaya Zaidi hizo namba mnazoweka humu mitandaoni huwa hazifutiki kwani hubaki...
Kwa majiana naitwa Elnest tesha, namiaka 33 natafuta mwanamke ambaye atakuwa tayar kufunga ndoa na Mimi .. sifa, awe mcha mungu, dini yoyote, awe na bachelor degree, masters, au PhD ikiwa computer...
Nimechoka na upweke.
Natafuta mwanaume aliye serious kabisa kujenga maisha.
Sifa zake;
Mrefu
Awe anajishughulisha na kazi yeyote halali
Asiwe Muhaya
Elimu kuanzia la saba
Sifa zangu;
Mimi ni...
Sifa ya kwanza awe muajiliwa au kajiajiri
Sifa ya pili awe tayari na miaka kuanzia 25 mpaka 35,
Asiwe na zaidi ya mtoto moja
Sichagui dini wala kabila
Awe mzuri wa wastani na mnene kiasi na wowo...
Habari jf natafuta Mke wa kuoa alie Na sifa zifuatazo 1. Ajue kusoma na kuandika 2.awe na heshima 3. Mweupe ama Maji ya kunde 4. Asiwe mfupi sana wala mnene sana 5.umri miaka 18-26 .karibuni PM...
Nahitaji mwanamke wa kumuoa,
Sifa kuu awe Wife material, mwalimu wa shule ya msingi
Sifa ndogo ndogo:
1. Mweupe (natural)
2. Awe tayari kuwa mkristo
3. Awe chini ya miaka 26
Mimi ni mwanafunzi...
NAwasalim wandugu. Mimi kwa sasa niko musoma natafuta marafiki walio musoma tufahamiane. Mimi ni mwanaume umri miaka 25 ni mwajiriwa serikalini.
Nitafute pm au kwa e mail jerryrobson55@gmail.com
Kwa Mara ya kwanza najitokeza kwenye jukwa hili,natafta mchumba na baadaye aje kuwa mam wa watot Wang km mung akipenda,
SIFA
1.umri kuanzia mwaka 24 mpaka 26
2.elimu form 4 mpaka university na awe...
Habari wanajamvi,
Mimi ni mwanamke wa miaka 33, niko Arusha, Mkristo Mcha Mungu.
Natafuta mume miaka 33 hata 36, awe Mkristo Mcha Mungu.
Kujuana zaidi njoo PM.
Habar zenu wakuu
Takriban kwa mda mrefu sana nilikua naishi kiunafiki kabisa kufake relationship status yangu kwa sababu tofaut ambazo ni ziite kua ni za kijinga
Nilikua napata tafakar kuhusu...
Mimi ni kijana umri miaka 24, elimu ni digrii moja ya uchumi; Kazi ni mwajiriwa na mfanyabiashara.
Ninaishi dar maeneo ya Morocco natafuta mwanamke anayejielewa kuhusu maisha/mtafutaji /life...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.