Ubuntu trusty tahr
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 322
- 219
Habarin dada zangu wa mkoani na dsm natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili tuu kwa malipo ya tsh 10 M matunzo na huduma nyingine nitatoa mimi mwenyewe wakati wote..Awe na sifa zifuatazo
1)Mweupe na mwembamba kiasi
2)Mrefu
3)Mwenye nidham na awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kutumia akili kwa usahihi.
4)Awe na elimu ya kuanzia shahada na kuendelea awe anajua kuongea kwa usahihi lugha ya kingereza na kifaransa
Kama kuna aliyeko tayari aje inbox
KINACHOJIRI SASA
Wakuu natumaini maendeleo yenu kiafya ni mazuri sana.Kwa kipindi kifupi cha wakati hatimaye nimempata mwanamke mwenye sifa nilizoorodhesha Hata hivyo ametaka dau lipande na kufikia 18M. Leo atafanyiwa usaili wa mambo mengine pamoja na usaili wa vipimo vya Afya ili kujiridhisha kuwa hana tatizo lolote.....Natumaini baada ya hapo kama akifaulu kwa kiwango ninachotaka tutaweza kuendelea na hatua inayofuatia.
1)Mweupe na mwembamba kiasi
2)Mrefu
3)Mwenye nidham na awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kutumia akili kwa usahihi.
4)Awe na elimu ya kuanzia shahada na kuendelea awe anajua kuongea kwa usahihi lugha ya kingereza na kifaransa
Kama kuna aliyeko tayari aje inbox
KINACHOJIRI SASA
Wakuu natumaini maendeleo yenu kiafya ni mazuri sana.Kwa kipindi kifupi cha wakati hatimaye nimempata mwanamke mwenye sifa nilizoorodhesha Hata hivyo ametaka dau lipande na kufikia 18M. Leo atafanyiwa usaili wa mambo mengine pamoja na usaili wa vipimo vya Afya ili kujiridhisha kuwa hana tatizo lolote.....Natumaini baada ya hapo kama akifaulu kwa kiwango ninachotaka tutaweza kuendelea na hatua inayofuatia.