Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
  • Closed
Habarini za muda wapendwa? Kama Mungu alivyosema "si vyema mtu huyu akawa peke yake bali nitamfanyia msaidizi" Natafuta mume mwenye hitaji la msaidizi (mke). wasifu wangu: umri: miaka 25 dini...
0 Reactions
70 Replies
5K Views
Habari za wakati huu... Tunapoelekea kumalizia mwaka na kuanza mwaka mwingine pia naendelea kuwa kurudia kutangaza tenaaa kuwa natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 18 mpaka 25.. Elimu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wana JF, natumaini mko salama, Kwa heshima zote, naandika from my heart. JF ni platform inayowakutanisha Watanzania wote, ni matumaini yangu kumpata ninayemtafuta kama jinsi nyinyi ambavyo...
8 Reactions
138 Replies
9K Views
Habarin dada zangu wa mkoani na dsm natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili tuu kwa malipo ya tsh 10 M matunzo na huduma nyingine nitatoa mimi mwenyewe wakati...
1 Reactions
129 Replies
10K Views
  • Closed
Jamani Mimi ni msichana Nina miaka 21 natafuta mpenzi ambae anakazi miaka 24_26 awe mrefu kawaida ,mweusi si mweus sana awe anaakili ya kimaisha ili tujenge mahusiano Mimi niko chuo mwaka wa pili...
5 Reactions
66 Replies
14K Views
Jamani nyie wenyewe mnajua maisha ya usingo yanavyochosha na umri nao unavosogea so mie nimeona sasa nitafute mke. Kwanza kabisa mie umri ni VERY LATE TWENTY Elimu yangu ni diploma ya sheria...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu : Kwa mara ya kwanza naandika Makala hii kumtafuta mdada anaejitambua ili tuweze kukaa chini na kujenga mahusiano mazur kwa misingi ya ndoa halal’ ninamiaka 31yrs ; naamini panapo...
2 Reactions
54 Replies
4K Views
??
Je wajua?, ' hofu ya Mungu inasaidia' katika kuwa na mahusiano sahihi.......
1 Reactions
4 Replies
770 Views
Dini yoyote , nchi yoyote ile, asiwe mfupi,urefu wa wastani au mrefu zaidi, mzuri wa shape na sura,rangi yoyote, mwenye mawazo chanya,elimu walau darasa la saba, umri asizidi miaka 28 Juu yangu...
0 Reactions
38 Replies
2K Views
Jaman umr ukifka umefika natafta bint awe na umr kuanzia miaka 19-23 awe mcha mungu na awe na sifa zote za mwanamke anafaa kutuza family yake anicheck kwa no 0628239703 napatikana SIMIYU itapendeza
1 Reactions
8 Replies
3K Views
CHEKI MASTAA WA BONGO WANAVYOCHAT KWA GROUP LAO..[emoji23][emoji23] . . lulu: hello guys morn amber lulu: typing... Diamond:mambo vip lulu Zari:typing...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume miaka 33 Mkazi wa mwanza muajiriwa Nahitaji binti wa kuoa muislam Umri 18 na kuendelea Alie tayar aje pm
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Kama kichwa kinavyojieleza wapendwa wangu nahitaji rafiki wa kike kwaajiri ya kushare mambo mbalimbali ya maisha awe na umri wa 25 or less than 25 na aliopo Dodoma. Napenda sana rafiki...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Aliyetayari kuwa baba wa mwanangu anitafute PM. SIFA . Awe na umri kati ya miaka 30_45; Akubali mtoto atumie majina yake ata akipenda anaweza mtafutia jina lingine; Elimu kuanzia diploma; awe...
7 Reactions
89 Replies
6K Views
....salaam wana jukwaa: ....Lengo la uzi huu napenda kupata rafiki (best friend) diaspora. ....Rafiki huyu ninae tamani kukutana nae ningependa awe anaishi nje atleast kwa miaka kuanzia 4+...
3 Reactions
54 Replies
5K Views
Habari wana MMU. Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa. Mimi ni kijana Nina miaka 28. Natafuta binti anayejiheshimu na ambaye yupo tayari kuolewa kwa sasa. Dini...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Iam searching for a white girl or woman for marriage.i real admire them please wherever you are come to me
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Umri: awe kuanzia miaka 22 nakuendelea, asiwe na mtoto, asiwe mnene sana, rangi yoyote. Dini: awe muislamu Elimu: kuanzia kidato cha nne na kuendelea, Sio lazima awe anafanya kazi, Na akiwa ni...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Umri: awe kuanzia miaka 25 na kuendelea, na asiwe na mtoto, asiwe mnene sana, rangi yoyote. Dini: awe muislamu kwakua mimi pia ni muislamu Elimu: kuanzia kidato cha nne hadi chuo kikuu, Sio...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wadau,natafuta mchumba wa kike umri usiozidi 28,vigezo:mimi ni mrefu Mweusi kiasi flani Elimu:Form4 hadi chuo kikuu :Mengine tutamalizana PM Karibuni Sana
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom