Gentleman P
JF-Expert Member
- May 23, 2018
- 370
- 453
Wana JF, natumaini mko salama,
Kwa heshima zote, naandika from my heart. JF ni platform inayowakutanisha Watanzania wote, ni matumaini yangu kumpata ninayemtafuta kama jinsi nyinyi ambavyo mmepata kujifunza mengi kutoka kwenye thread zangu mbalimbali.
Kuanzia June inayoanza kesho, lengo langu kubwa na la pekee ni familia. Mimi ni mfanyakazi, mazingira ya kazi yananinyima muda wa ku-mingle out. I'm always scheduled, kwa wenye kazi kwenye corporate institutions mtanielewa, japo sio vitengo vyote watu huwa busy.
Naomba kama kuna mwanaJF au ana ndugu/rafiki yake mwenye hitaji kama langu, tuwasiliane. Naomba mfahamu andiko langu ni serious, na pengine kuliko kuni-flag out kama kawaida ya kizazi kipya cha JF, labda muache nafasi kwa mtu mmoja tu, maoni yenu yana yana nafasi kubwa ya kumvunja moyo au kumtia moyo ya kuwasiliana na mimi na hatimae akaitwa Mke wangu.
Niwe clear kwenye jambo moja: Mke wangu mtarajiwa naomba uwe Mkristo, una Diploma au Degree na unaishi Dar es Salaam.
Mambo kama umri, rangi, kabila n.k. ni juu yangu na atakeyjitokeza.
Ninawaahidi nitazidi kuandika Articles za mada mbalimbali za kitaaluma na kuelimishana.
Thank you JF.
Kwa heshima zote, naandika from my heart. JF ni platform inayowakutanisha Watanzania wote, ni matumaini yangu kumpata ninayemtafuta kama jinsi nyinyi ambavyo mmepata kujifunza mengi kutoka kwenye thread zangu mbalimbali.
Kuanzia June inayoanza kesho, lengo langu kubwa na la pekee ni familia. Mimi ni mfanyakazi, mazingira ya kazi yananinyima muda wa ku-mingle out. I'm always scheduled, kwa wenye kazi kwenye corporate institutions mtanielewa, japo sio vitengo vyote watu huwa busy.
Naomba kama kuna mwanaJF au ana ndugu/rafiki yake mwenye hitaji kama langu, tuwasiliane. Naomba mfahamu andiko langu ni serious, na pengine kuliko kuni-flag out kama kawaida ya kizazi kipya cha JF, labda muache nafasi kwa mtu mmoja tu, maoni yenu yana yana nafasi kubwa ya kumvunja moyo au kumtia moyo ya kuwasiliana na mimi na hatimae akaitwa Mke wangu.
Niwe clear kwenye jambo moja: Mke wangu mtarajiwa naomba uwe Mkristo, una Diploma au Degree na unaishi Dar es Salaam.
Mambo kama umri, rangi, kabila n.k. ni juu yangu na atakeyjitokeza.
Ninawaahidi nitazidi kuandika Articles za mada mbalimbali za kitaaluma na kuelimishana.
Thank you JF.