Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,752
- 1,311
Nimeona kejeli na matusi vimetawala, ahsanteni na nisamehe we, labda hii hairuhusiwi Jf.
JamiiForums naomba hii post ifutwe.
JamiiForums naomba hii post ifutwe.
Hapo kwenye kusubiri SEX ndo wengi patatukwamisha...labda kwa faida ya wengi ungedeclare kabisa kama una BIKRA AU LA!
Aitowe wapi kwa mfano !!!!!!?Una bikra..?
Nime edit post mamaHapo kwenye kusubiri SEX ndo wengi patatukwamisha...labda kwa faida ya wengi ungedeclare kabisa kama una BIKRA AU LA!
Ogopa kuingia katika ndoa na mwanamke ambaye haujawahi kukutana nae kimwili au kufanya nae tendo la ndoa - JamiiForums
Tuweke hoja kiuhalisia6. Awe tayari kupima vvu kabla ya chochote na alie tayari kusubiri hadi tufunge ndoa Ndio tu sex.
Aisée hiyo Avater yako imenikumbusha Mbali sanaUpweke mbaya aisee!
Hadi namba sita utatimiza?
Tuheshimiane please mimi ni mbaba wa shoka kabisa na waweza kuwa mke wangu wa pili siku za usoniNime ed
Nime edit post mama
Ni bikra
Hivi hiyo confidence unaitolea wapi bidada. hapo jipange kumuumba mtu wako. haya maisha yamebadilika saivi sio ku sex tu. Tunahakikisha na uwezo wa ku conceive kabla ya ndoa. maana kwa age yako nisubiri ndoa we bikra?Awe tayari kupima vvu kabla ya chochote na alie tayari kusubiri hadi tufunge ndoa Ndio tu sex.
Nakaribisha wenye vigezo watume inbox.
Wakati mwema
....wapi uko?Aisée hiyo Avater yako imenikumbusha Mbali sana
I am untouched, na twaweza kuthibitisha kwa daktariTuweke hoja kiuhalisia
- Hapo kwenye kijani, its okay yawezekana
- Ila hapo kwenye RED sidhani kama utaeleweka, kwa mtu wa umri huo unayemuitaji, labda daktari athibitishe kuwa .......never touched