Napenda wataalamu watupe ushauri ili kuondoa woga wa watu kuhusu ujenzi wa nyumba ya ghorofa
Moja,gharama kubwa ziko hatua gani,mahitaji muhimu ni nini,na kuna vibali aina gani vinatakiwa,
Na...
Habari zenu wadau wenzangu...kwa wale wazoefu na wanaojuwa naomba kujuzwa juu ya mtaji kias gani cha chini mtu aweze kufungua super market au hard ware..inahitajika shiling ngap?
.je mtaji...
Kwa ufupi
Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi pamoja na wananchi waliohojiwa umeonyesha kupanda kwa bei ya saruji na vifaa vingine vya ujenzi kama mabati na nondo, hali inayoongeza gharama za...
Nimesikitishwa sana na Bei vifaa vya Ujenzi Kupanda maradufu
Cement iliyokuwa Elfu 16,000 mwezi Jana Sasa ni 18,000/=
Nondo iliyokuwa 13,000/= sasa ni 17,000/=
Bati iliyokuwa 16,000/=sasa ni...
Kupitia mtandao wa twitter kuna madai ya kupanda kwa vifaa vya ujenzi: Cement,nondo,bati, n.k.
Madai haya yanatokana na swali alilouliza Zitto juu ya bei hizo kupanda ambapo baadhi ya watu...
Bei ya cement tulinunua kwa Tsh 10000/=@bags hadi dec mwaka 2017, nashitushwa sahivi imefikia 13500/= hadi 14000/= KURIKONI?
Bei ya nondo size 12mm tulinunua Kwa 13000/Pc 40ft sahivi imefikia...
Habari za jioni wakuu ,
Nafikilia kufany biashara ya kuuza vifaa vya ujenzi (Hardware),Je nahitajika kuwa na mtaji wa kuanzia shilingi ngapi ili niweze kuanzisha hii biashara?
Habari za sasa hivi,
Nauliza ukitaka kujenga nyumba kubwa ya vyumba kama 6 ila vitatu ni masters, na dining na public toilet, jiko pamoja na sitting room. Pia nje kuwe na sehemu ya magari.
Kwa...
Wanajamvini... nahitaji kupata building material za finishing kama mabomba na vifaa vya umeme.
Mafundi wote wamenipa list ya vifaa.. naomba mwenye contacts za hardware wanaouza vitu bei nzuri...
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr Ashatu Kijaji amesema Serikali haiwezi kuondoa kodi ya VAT kwenye vifaa vya ujenzi kwa sababu ni vigumu kujua nani anajenga kibiashara na nani anajenga makazi...
Kutokana na uchumi wa wananchi kubana, biashara ya vifaa vya ujenzi wa nyumba imepungua huku vile vya ukandarasi wa miradi mikubwa ikiongezeka zaidi ya mara dufu.
Hayo yamebainishwa na meneja...
Jamani ninahitaji mkopo usiokuwa na ubabaishaji Kwa ajili ya ukarabati wa nyumba yangu,ni mfanyakaz wa sekta za kitalii
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Ili uwe na nyumba nzuri unatakiwa kuwa na ramani iliyodesginiwa vizuri na ya tofauti na kipekee na inabidi isimamiwe vizuri wakati wa ujenzi
kwa ushauri wa maswala ya ujenzi na ramani za nyumba...
Habari JF members,
Naomba msaada kwa anayejua jinsi ya kuwa wakala wa uuzaji wa vifaa vya ujenzi na vinginevyo vinavyohusiana na ujenzi. Hapa namaanisha mfano: cement, tanks, mabati, sink...
Habari wakuu
naombeni msaada ninataka kufungua duka la vifaa vya ujenzi(HARDWARE) ila tatizio ni kwamba mimi siyo mzoefu wa hii biashara naombeni list ya vitu muhimu vinavyotakiwa viwepo na sehemu...
Maabara iwe na uwezo wa kupima mchanyiko wa Udongo wenye sifa zifuatazo kama inavyoonekana kwenye attachment.
Udongo huu ni kwaajili ya kutengenezea Tofali za kuchoma.
Serikali imetoa miezi mitatu kwa shirika la nyumba la taifa NHC kuwa limekamalisha miradi yote ya ujenzi wa nyumba zinazojengwa kwa ajili ya kuuzwa kwa wananchi kwa gharama nafuu hatua ambayo...
Kutoka kushoto ni Ibrahim Samuel- Meneja Uhusiano- Mikopo ya Nyumba, Wasia Mushi- Naibu Mkurugenzi Benki ya Afrika Tanzania (BOA), na Muganyizi Bisheko- Meneja Masoko Utafiti na Maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.